Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatuhusu nini sisi wewe pungaKikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL
Tupo uwanjani sshv
Midomo imekatwaKelele za GSM anaharibu mpira
Kelele za lile tawi lao
Kelele za bahasha
Kelele za refa anawabeba
Kelele za Ubuntu botho
Zote hizo hazitokuwepo kwa sasa
Hahahahaha. Kilimi limiMidomo imekatwa
😂Naona lugha inapandaHahahahaha. Kilimi limi
Hahahahaha..swahili au lugha gani ?😂Naona lugha inapanda
Kilimi limiHahahahaha..swahili au lugha gani ?
Hahahahaha..nilisikia huko uswazi..au nimekosea ?Kilimi limi
Hujakosea ndo hivyo hivyo.Hahahahaha..nilisikia huko uswazi..au nimekosea ?
Ok..niko vzr kumbeHujakosea ndo hivyo hivyo.
Swali zuri sana! Ukipata jibu unitag.Moja kwa moja niulize, Simba leo mbona hamlii na bahasha za Yanga?
Imekuwa kawaida msimu mzima kila Yanga akishinda mnasema katoa hongo, vipi wazee baada ya kipigo mna la kusema?
Mje mseme hapa GSM kawapa bei gani.
7-2
Unanichora tu! Wewe umetokea huko😎Ok..niko vzr kumbe
Tunajua tatizo ni nini!Moja kwa moja niulize, Simba leo mbona hamlii na bahasha za Yanga?
Imekuwa kawaida msimu mzima kila Yanga akishinda mnasema katoa hongo, vipi wazee baada ya kipigo mna la kusema?
Mje mseme hapa GSM kawapa bei gani.
7-2
Na bado wakawa wanamliliaRefa kawaongezea midakika, kawapa kona lakini bado tu hawajashinda kolowizard
Nyie mmeshinda ila mnalalamika eti hatulalamiki!Rage hakukosea pale alipowaita mbumbumbu. Maana wao kazi yao ni kulalamika tu.
Nako mmelia tena au mnangoja second leg pale Tshwane!?Kikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL
Tupo uwanjani sshv