Kibamia huo ukweli usingesaidia kituAlikua hanifikishi,nikamweleza ukweli tuakaachana,kuliko kumcheat ni bora tuachane kwa amani. Hadi Leo ni rafiki yangu sana, japo najua siri yake ana kibamia kama cha mtoto.
Haaaahaaaaa, huo utani! Inafurahisha sana! Huyo angekuoa angekunyea hadi kitandani!alilewa akajinyea bar nikamuacha toka siku hyo akaniacha eti sikumpenda wakati wa dhiki
Ilikuwa unataka aje peke yake ili kitokee nini!?Wa kwanza ilikuwa kila nikimwambia aje gheto anakuja na mdogo wake
Una roho mbaya!Manzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.
Kwa hiyo unachezewa tuAlitaka kunioa nikamwambia No!
Duh, mimi binti alinizidi miaka miwili a miezi sita, ki ukweli nilikuwa nampenda sana lakini sikuwa na jinsi ilibidi nimuachenilijisikia tu kumwacha.... tulifanana umri nikaona huyu nisipoangalia ntaoa halaf uzeen tuanze kusumbuana!!!!
[emoji2] CCMAkiniomba hela naitikia ndio ntampa Alafu napotezea..... Kaomba nimnunulie naniliu nikaitikia kasubiiri kaona Bila Bila....dah akachoka kuvumilia.
Akaamua kuniacha......
I really miss her..... mwenyewe alikuwa ananiita ccm badala ya sumbai sijui kwanini
1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] i like this and I don knw why!!!..Hapana!!! Hakua mkweli!!! Sikumuamini... Yaani ni yule mtu akikwambia kumekucha inabidi uchungulie nje kuhakikisha.
Nilitaka kuuliza same same! Katika wale xxx, nani hasa wa kutolea mfano humu.Sasa hapa tunataja sababu za yupi maana duuuh!!!
Mhhh mbona kama umepania kunifilisi.Nichukue mie basi. Niko vizuri hiyo sector.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nilitaka kuuliza same same! Katika wale xxx, nani hasa wa kutolea mfano humu.
Yaani wewe!![emoji134] [emoji134] [emoji134]Dah Demu Alikua Anajamba Yule Jamani. Najma!!
[emoji119] [emoji119] [emoji119]
mkuu,Hilo lilikua shankupe1. Hashiki mimba miaka kadhaa yet anataka nimuoe nami bado kijana
2. Haamini katika mapenzi ya kweli anayaita mapenzi ya kihindi
3. Lipenda starehe namba moja
4. Tapeli lilaghai kubwa
5. Kwa mechi za nje tu halijambo
6. Halichelewi kuachana na mtu maana ndo jadi yake wengi tunalia
7. Pesa zako zikikauka zinakausha na mapenzi yake
8. Yani all in all I spent my two good years for nothing completely.
9. Bado litaumiza wengi tu maana kuachika ndani ya mwezi mmoja halioni shida
Alinikera saana.........[emoji2] CCM