Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Aisee Kuna mwanamke ninataka kumuacha ila namuonea Huruma, Yaani yeye ndio alianzisha mada za kuachana na Mimi nikanza kutembea nazo, nikamwambia fresh tu tuachane, Cha ajabu baada ya siku moja akaanza kuniita Baby tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Alikua anatikisa kiberiti[emoji23]
 
Hakuna mwanamke anakera kama omba omba aisee (except mke/mama wa nyumbani). Unakuta ndo mmeanza mahusiano utamskia , nimepata msiba kama uko poa nichangie elfu kumi ya nauli, ukimwambia sasa hv siko poa kuna mishe naiskilizia...utashangaa mfululizo wa sms, vp mbona umenidanganya?, mara mbona hujanitumia hiyo pesa? , kimya? Utanitumia saa ngapi?

Usipomtumia anakukasirikia hata kukujulia hali hataki mpk umtafute yeye...!!!

Tena unakuta daily anafanya kazi na anapata pesa.
Yaani we acha tu, tena siku hizi ndiyo wamezidi. Kila mtaa omba omba kibao, cha kushangaza hata wake za watu nao wamegeuka kuwa wagogo. Kwa kweli Ustawi wa Jamii inabidi waingilie kati hili suala la mke wa mtu kugeuka omba omba maana wanadhalilishwa sana huku mitaani. Unakuta mwanamke ana michango zaidi ya 10 lakini uwezo wa kulipia hiyo michango hana na ndiyo maana anakuwa changudoa wa siri. Sasa uje kukutana na hivi videmu vya vyuo vikuu, utalia. Hawa badala ya kusoma muda wote wanawaza kuwa na wanaume lukuki ili watambiane kwa kuomba mizinga na eventually kuambukiza wenzao magonjwa. Sijuwi tunakwenda wapi na hawa wanawake!
 
Nmeachana nae mwaka jana.
1. Amelewa malezi mabovu sana.
2. Kauli mbovu
3. Anapenda hela sana
4. Anataka kuwa na maamuzi kama mwanaume.
5. Hajui kusema ahsante, samahani
6. Alihitimu chuo udom 2019 lakini ni kama mhitimu wa darasa la saba. Kipindi nakutana nae, nilimwambia anipe tarehe zake akasema yeye huwa anafanya hivyo hivyo tu mwisho wa siku akajaa tumbo, kimbembe kilianzia hapo... Akasema kwaoet nilitaka kumuua,, ilihali mm nilimzuia kutoa mimba mpaka nikamdanganya nitamtafutia dawa mpaka akajifungua.
7. Ni hajawahi kufokewa wala kukemewa toka utoto wake
8. Ni mgonjwa wa kutotibika. Nilimpenda tu coz niliamin hiyo issue ni ndog tu lakin duu..hapana.
9. Alipokuwa na mimba alitaka dela ya 160,000/_ hapa ndiponilipoelewa huyu dada ni mjinga.
10. Alipojifungua mtoto waling'ang'ania licha ya kutoa hela ya kujifungua na baadhi ya matumizi. MOLA ATASHUGHULIKA NAO.
niliamua kukaa kimya toka siku hiyo coz ilikuwa kila tukiongea lazima tugombane mpaka leo hii nilishafuta na namba nikasema, HUYO MTOTO ACHA AISHI NAE MPAKA KIFO KITAKAPO WATENGANISHA.
Wanawake kama hao muwe mnaweka alama fulani wanaume wenzako wasikutane naye.
 
Nlimuumiza sana uyu mwanamke na ninampenda mpk kesho ila kilichotokea si mimi kupanga ila dah...nlipata transfer ya Moshi kwenye project flan kama ya miaka miwil hivi nikakaa mwaka wa kwanza fresh bas nikaanzisha mahusiano na mdada wote tupo kwenye Iyo project jst kuliwazana no future duh wiki ya pili tu ya mahusiano yetu kitu mimba kutoa demu kagoma af sikua na mpango nae ata chembe na akafanya juu chini uyo mwanamke wangu ajue kua nimempa mimba...[emoji22]

Dah aisee...
 
Wakati mwingine wanatumiaga madawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna madawa jombaa inatokea unammanya au kumuelewa binti wa mtu mazima. Unakuta msela amempenda demu then yeye anamchukulia poa, au binti kaelewa tu copy ilitolewa na wazazi wako kafa mazima..

Ukipendwa with no reason kuna urahisi wa kuachwa pia with many reason
 
Baada ya kwenda UDSM mchumba wangu akawa popo mbaya zaidi sikupata hata nafasi ya kumvua Pete yangu ya uchumba gold ring ya 350000 enzi hizo miaka ya 2006,hadi bado nampenda sana sema alishakuwa mtu maarufu na ameolewa na mtu maarufu,wazazi wananiambiaga hakuwa riziki yangu na pengine hasingekuwa mke mwema
Hadi leo hujaoa?
 
sijawai kuachana na mwanamke kwa sababu ila ni mda tu ukifika naachana nae sihitaji sababu yoyote maana nikitokea sababu naweza kumuumiza
 
Aisee Kuna mwanamke ninataka kumuacha ila namuonea Huruma, Yaani yeye ndio alianzisha mada za kuachana na Mimi nikanza kutembea nazo, nikamwambia fresh tu tuachane, Cha ajabu baada ya siku moja akaanza kuniita Baby tena [emoji23][emoji23][emoji23]

Amebip ukampigia hahaha. Ndio dawa yao
 
Nmeachana nae mwaka jana.
1. Amelewa malezi mabovu sana.
2. Kauli mbovu
3. Anapenda hela sana
4. Anataka kuwa na maamuzi kama mwanaume.
5. Hajui kusema ahsante, samahani
6. Alihitimu chuo udom 2019 lakini ni kama mhitimu wa darasa la saba. Kipindi nakutana nae, nilimwambia anipe tarehe zake akasema yeye huwa anafanya hivyo hivyo tu mwisho wa siku akajaa tumbo, kimbembe kilianzia hapo... Akasema kwaoet nilitaka kumuua,, ilihali mm nilimzuia kutoa mimba mpaka nikamdanganya nitamtafutia dawa mpaka akajifungua.
7. Ni hajawahi kufokewa wala kukemewa toka utoto wake
8. Ni mgonjwa wa kutotibika. Nilimpenda tu coz niliamin hiyo issue ni ndog tu lakin duu..hapana.
9. Alipokuwa na mimba alitaka dela ya 160,000/_ hapa ndiponilipoelewa huyu dada ni mjinga.
10. Alipojifungua mtoto waling'ang'ania licha ya kutoa hela ya kujifungua na baadhi ya matumizi. MOLA ATASHUGHULIKA NAO.
niliamua kukaa kimya toka siku hiyo coz ilikuwa kila tukiongea lazima tugombane mpaka leo hii nilishafuta na namba nikasema, HUYO MTOTO ACHA AISHI NAE MPAKA KIFO KITAKAPO WATENGANISHA.

Hawa wako wengi sana zama hizi. Ukishaona dalili za demu kutaka kuwa na maamuzi juu yako? Au anajiona bora kuliko ww ? Bale out. She is a bad news
 
ilifika muda nataka kuoa, mwenzangu hakua tayari, wala ckumuacha nilitafuta kitoto cha kitanga nikaoa zangu. akajiongeza
 
Back
Top Bottom