Nmeachana nae mwaka jana.
1. Amelewa malezi mabovu sana.
2. Kauli mbovu
3. Anapenda hela sana
4. Anataka kuwa na maamuzi kama mwanaume.
5. Hajui kusema ahsante, samahani
6. Alihitimu chuo udom 2019 lakini ni kama mhitimu wa darasa la saba. Kipindi nakutana nae, nilimwambia anipe tarehe zake akasema yeye huwa anafanya hivyo hivyo tu mwisho wa siku akajaa tumbo, kimbembe kilianzia hapo... Akasema kwaoet nilitaka kumuua,, ilihali mm nilimzuia kutoa mimba mpaka nikamdanganya nitamtafutia dawa mpaka akajifungua.
7. Ni hajawahi kufokewa wala kukemewa toka utoto wake
8. Ni mgonjwa wa kutotibika. Nilimpenda tu coz niliamin hiyo issue ni ndog tu lakin duu..hapana.
9. Alipokuwa na mimba alitaka dela ya 160,000/_ hapa ndiponilipoelewa huyu dada ni mjinga.
10. Alipojifungua mtoto waling'ang'ania licha ya kutoa hela ya kujifungua na baadhi ya matumizi. MOLA ATASHUGHULIKA NAO.
niliamua kukaa kimya toka siku hiyo coz ilikuwa kila tukiongea lazima tugombane mpaka leo hii nilishafuta na namba nikasema, HUYO MTOTO ACHA AISHI NAE MPAKA KIFO KITAKAPO WATENGANISHA.