Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Aisee Kuna mwanamke ninataka kumuacha ila namuonea Huruma, Yaani yeye ndio alianzisha mada za kuachana na Mimi nikanza kutembea nazo, nikamwambia fresh tu tuachane, Cha ajabu baada ya siku moja akaanza kuniita Baby tena 😂😂😂