ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mgeni rasmi Mheshimiwa Rais mahali ni Mlimani City kauli mbiu ni maji chini ya ardhi hazina isiyoonekana. Ratiba ya shughuli hio hapo katika picha.
Ushauri wangu mimi kama mdau wa hii sekta nashauri bodi za Bonde ziachane na mapendekezo ya ada mpya na leseni hasa za visima.
Wamiliki wanalalamika sana kipindi cha kulipia maduhuri wanadai hio hela kubwa sana, bora hii 250000 ya water use permit ila hii ya matumizi ya kila mwaka ada kutokana na maji anayo abstract wanaona kubwa sana taasisi za dini hali mbaya kutokana na Vita ya Ukraine hawapati Tena misaada toka Ulaya.
Bora wamiliki wa sheli wapo tayari kulipia wao Wana pesa ila sio hawa wafanyabiashara wa lodge na wengineo wanalalamika sana. uangalie Sana hiki kipengele tupunguze hii fees walau iwe 50000.
Wadau changamoto nyingine tuorodheshe wahusika wazione. Nawasilisha
Ushauri wangu mimi kama mdau wa hii sekta nashauri bodi za Bonde ziachane na mapendekezo ya ada mpya na leseni hasa za visima.
Wamiliki wanalalamika sana kipindi cha kulipia maduhuri wanadai hio hela kubwa sana, bora hii 250000 ya water use permit ila hii ya matumizi ya kila mwaka ada kutokana na maji anayo abstract wanaona kubwa sana taasisi za dini hali mbaya kutokana na Vita ya Ukraine hawapati Tena misaada toka Ulaya.
Bora wamiliki wa sheli wapo tayari kulipia wao Wana pesa ila sio hawa wafanyabiashara wa lodge na wengineo wanalalamika sana. uangalie Sana hiki kipengele tupunguze hii fees walau iwe 50000.
Wadau changamoto nyingine tuorodheshe wahusika wazione. Nawasilisha