Leo kuna Bomu linaenda kupigwa Mochwari, halafu bado kuna Watu watafurahia na kujisifu hata kwa Kuandamana

Leo kuna Bomu linaenda kupigwa Mochwari, halafu bado kuna Watu watafurahia na kujisifu hata kwa Kuandamana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ngoja niendelee kujenga Kikosi changu kwani bado ni Kipya hivyo hata kama nisipochukua Ubingwa msimu huu sitojali kwakuwa nimeshawapeni Kisingizio changu Tukuka kuwa najenga Kikosi japo nimesajili kwa Mbwembwe, nimeweka Kambi kwa Farao na tayari naongoza ligi na natamba kabisa huku wanaojua na wenye Kombe lao wakiwa busy Kwanza huko 'Umataifani' na hawajaanza kuzichukua Alama ( Points ) zao na wawe Mabingwa tena.
 
Ngoja niendelee kujenga Kikosi changu kwani bado ni Kipya hivyo hata kama nisipochukua Ubingwa msimu huu sitojali kwakuwa nimeshawapeni Kisingizio changu Tukuka kuwa najenga Kikosi japo nimesajili kwa Mbwembwe, nimeweka Kambi kwa Farao na tayari naongoza ligi na natamba kabisa huku wanaojua na wenye Kombe lao wakiwa busy Kwanza huko 'Umataifani' na hawajaanza kuzichukua Alama ( Points ) zao na wawe Mabingwa tena.
Mwamba kumbe wewe ni Mwananchi? Kamwene...Tumsifu Yesu Kristu...bismillahir rahmanir rahim asalaam alaikum warahmatulillah wabarakatuh! Uende peponi!
 
Ngoja niendelee kujenga Kikosi changu kwani bado ni Kipya hivyo hata kama nisipochukua Ubingwa msimu huu sitojali kwakuwa nimeshawapeni Kisingizio changu Tukuka kuwa najenga Kikosi japo nimesajili kwa Mbwembwe, nimeweka Kambi kwa Farao na tayari naongoza ligi na natamba kabisa huku wanaojua na wenye Kombe lao wakiwa busy Kwanza huko 'Umataifani' na hawajaanza kuzichukua Alama ( Points ) zao na wawe Mabingwa tena.
I like your situational analysis
 
Hii inaitwa kutegemea matokeo chanya kwa kitu unachokijua, yaani Vital'o' wanategemea matokeo mazuri kwa timu wanaijua, (expecting results from what you know), wanaamini wanaenda kuipindua meza tena wameenda mbali zaidi kwa kuvunja barafu, kwa Mama Samia rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania eti wakishinda na wao wapewe hela ya goli la mama, (breaking the ice). If adapted it will be a good symbol for East Africa soccer and also, strengthen unity and respect to our leaders since loyalty has no space in modern society
 
Ngoja niendelee kujenga Kikosi changu kwani bado ni Kipya hivyo hata kama nisipochukua Ubingwa msimu huu sitojali kwakuwa nimeshawapeni Kisingizio changu Tukuka kuwa najenga Kikosi japo nimesajili kwa Mbwembwe, nimeweka Kambi kwa Farao na tayari naongoza ligi na natamba kabisa huku wanaojua na wenye Kombe lao wakiwa busy Kwanza huko 'Umataifani' na hawajaanza kuzichukua Alama ( Points ) zao na wawe Mabingwa tena.
Usajiri 7 billion, mmetisha sana
 
Back
Top Bottom