Leo Major: Shujaa wa aina yake

Leo Major: Shujaa wa aina yake

Ahsante kwa hii kumbukumbu. Ina funzo kubwa ktk maisha yetu. Usisite kutuletea na za wanajeshi wetu Tanzania ikiwezekana.
 
Ahsante kwa hii kumbukumbu. Ina funzo kubwa ktk maisha yetu. Usisite kutuletea na za wanajeshi wetu Tanzania ikiwezekana.
Mkuu zipo kibao ila kuziaccess ndio shida tofauti na nchi za wenzetu huwa zinaandikiwa mpaka vitabu sisi hapa nyingi ni hearsay hazina reference kabisa na ndio changamoto inaanzia hapo.
 
Duuh,huyo jamaa noma
Kuna muvi kadhaa nimezicheck zikielezea mission zake aiseee jamaa yupo vzr.
Sasa mbona hakupandishwa cheo?
 
Duuh,huyo jamaa noma
Kuna muvi kadhaa nimezicheck zikielezea mission zake aiseee jamaa yupo vzr.
Sasa mbona hakupandishwa cheo?
Alimtusi General wa uingereza Field Marshal Montgomery aliesimamia vikosi vya majeshi washirika, ya kwamba hana "sifa" wala "ueledi" wa kumpa medali ya heshima...... Hivyo ni kupitia bifu hili nafkiri ndio maana hakupanda cheo maana alionyesha kutokuwa mtiifu kwake. Ila bado sijafahamu walimvuruga nini hadi amtusi kiasi hicho!! Labda wajuzi watusaidie chanzo cha bifu la hawa jamaa

Cc Malcom Lumumba
 
Mkuu zitto junior Makala zako huwa zinanikoshaga sana long time aisee,hivi hujatupia tena post yako humu au ndo kusahau kunitag?

okay back to the topic,huyo Leo mgongo kuvunjika mara tatu si mchezo,plus visigino vyote viwili ,tuseme aliweza kutibiwa akapona kabisa na akaweza kusimama au ndo alikuwa anedeleza ushujaa akiwa anatambaa mkuu?
 
Mkuu zitto junior Makala zako huwa zinanikoshaga sana long time aisee,hivi hujatupia tena post yako humu au ndo kusahau kunitag?

okay back to the topic,huyo Leo mgongo kuvunjika mara tatu si mchezo,plus visigino vyote viwili ,tuseme aliweza kutibiwa akapona kabisa na akaweza kusimama au ndo alikuwa anedeleza ushujaa akiwa anatambaa mkuu?
Mkuu nashukuru kama unafuatiliaga mada zangu ili tujikumbushe pamoja historia mbalimbali. Ni kweli muda mrefu sijaweka mada ila kuna moja hapa nimeweka jumapili unaweza pitia ukaweka maoni yako.


Back to topic, Leo Major anazungumziwa kwamba alipoumia alikua akitibiwa lakini kubwa zaidi licha ya kuwa alitoboka jicho kwenye mapambano ulaya magharibi alipaswa kuachishwa majukumu ya kijeshi maana alishakua mlemavu lakini kutokana na uzalendo wake uliotukuka aliforce kuendelea kupigana kwa mafanikio makubwa sana ndio maana alipewa hizo medali za juu zaidi za heshima jeshini.

Kiufupi huyu jamaa alikua kama ''Rambo'' au ''shoznigga'' kwenye movie...... Yaani jeshi la mtu mmoja.

Kwa hapa Afrika naweza mlinganisha na James Kabarebe alivyopambana kwenye operation Kitona hasa uvamizi wa Kinshasa na ule wa Angola. Ulikua zaidi ya movie
 
Asante kwa makala hii, huyu jamaa vitendo vyake sio vya mchezo aisee,yaani anafanya kambi nzima inapaniki halafu anawateka
 
Mkuu nashukuru kama unafuatiliaga mada zangu ili tujikumbushe pamoja historia mbalimbali. Ni kweli muda mrefu sijaweka mada ila kuna moja hapa nimeweka jumapili unaweza pitia ukaweka maoni yako.


Back to topic, Leo Major anazungumziwa kwamba alipoumia alikua akitibiwa lakini kubwa zaidi licha ya kuwa alitoboka jicho kwenye mapambano ulaya magharibi alipaswa kuachishwa majukumu ya kijeshi maana alishakua mlemavu lakini kutokana na uzalendo wake uliotukuka aliforce kuendelea kupigana kwa mafanikio makubwa sana ndio maana alipewa hizo medali za juu zaidi za heshima jeshini.

Kiufupi huyu jamaa alikua kama ''Rambo'' au ''shoznigga'' kwenye movie...... Yaani jeshi la mtu mmoja.

Kwa hapa Afrika naweza mlinganisha na James Kabarebe alivyopambana kwenye operation Kitona hasa uvamizi wa Kinshasa na ule wa Angola. Ulikua zaidi ya movie
Ah okay sawa sawa sawa mkuu asante kwa maelezo

Acha nikaicheki hiyo thread yako ya jumapili.
 
Back
Top Bottom