Leo Major: Shujaa wa aina yake

Itia moyo
 
Ila kuna sehemu kidogo naomba nirudishie chenji, alivunjika mgongo mara 3, alivunjika mbavu na visigino vyote viwili halafu akatoroka? Na baada ya mwezi akarudi jeshini? Mh!
 
Ila kuna sehemu kidogo naomba nirudishie chenji, alivunjika mgongo mara 3, alivunjika mbavu na visigino vyote viwili halafu akatoroka????? Na baada ya mwezi akarudi jeshini???? Mh!

Sio hiyo tu na Jicho pia lilitoboka. Akiwa anapewa matibabu huko Uholanzi akaambiwa atarudishwa Canada, hivyo akatafuta mbinu akatoroka kambini ndio akaenda tibiwa kienyeji tu na familia mmoja huko Zwolle, Uholanzi na ndiyo baada ya mwezi akarudi jeshini kwa kulazimisha.

Taarifa zake zipo kwenye public domain mkuu na documentary pia zipo kibao so unaweza enda verify hizi facts kama nimeandika uongo ama lah.

Niliwahi angalia Espn Classics, Franz Beckanbeur mcheza soccer wa Ujerumani nusu fainali ya 1974 akivunjika mkono uwanjani na alipaswa kutolewa ila aligoma akafungwa ogo kifuani hivyo akabaki na mkono mmoja tu na akacheza dakika zote 120 machozi yakimwagika! Kitu ambacho wwe ama mimi tusingeweza.

Kuna watu wamejifua kwenye endurance na determination na ndio maana amepewa hizo tuzo za Juu zaidi za jeshini mara 3. Maana haya mambo kikawaida hakuna ambaye angeweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…