Leo: Mashabiki wa Simba wapokea kombe jiji Dar

Leo: Mashabiki wa Simba wapokea kombe jiji Dar

Mzee wa Mtaa

Member
Joined
May 29, 2019
Posts
37
Reaction score
77
Tanzania Football inawashabiki wengi sana na tena hatari.
Sijaju Kenya ushabiki wa mpira uko vipi.
1111417



1111420


1111421


1111422
 
Majuzi hapa Gor Mahia na wenyewe walichukua ubingwa wa Kenya. Mwenye picha zao aweke tuone vibe lao
 
Ondoeni huo upupu hapa, mpeleke kwenye jukwaa la michezo, hehehehe inauma maana mimi shabiki wa watoto wa Jangwani japo Mkenya, hapo ina maana Dar leo watu hawalali kwanza kule uswazi.
 
Back
Top Bottom