Leo Mbowe ameudhihirishia umma kuwa ni mroho wa madaraka

Leo Mbowe ameudhihirishia umma kuwa ni mroho wa madaraka

RIGHT MARKER

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
129
Reaction score
473
MBOWE wa CHADEMA ametangaza kuendelea kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa CHADEMA.

Najaribu kujiuliza...
(1) Je, akikabidhiwa na wananchi kiti cha urais wa JMT kupitia chama chake atakubali kung'ooka ili kuwapisha wenzake?

(2) Je, kuanzia leo ni vibaya kama MBOWE tutampa jina la DIKTETA wa CHADEMA?

Mtu mwenye tamaa mbaya anapimwa kwenye kitu kidogo. Leo MBOWE wa CHADEMA a.k.a KING'ANG'ANIZI amewadhihirishia watanzania kuwa yeye au pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA ni waroho wa madaraka, na wanatamani kuingia madarakani kwa sababu ya maslahi yao binafsi.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
 

Attachments

  • Screenshot_20241221-163151.jpg
    Screenshot_20241221-163151.jpg
    263.7 KB · Views: 2
hata kama ni wewe, kampuni ni yako umeajiri wafanyakazi wengi halafu wanashiba mali zako kisha wanataka kuchukua kampuni, utakubali?

CHADEMA ni taasisi ya watu flani kutoka kaskazini, hilo haliwezi kuhamia kanda ya kati, never!
 
Kwa nini mnamyima haki yake ya kugombea ? Si demokrasia inatakiwa iamue nani mshindi ? Chama cha demokrasia halafu mnataka kuendesha uchaguzi kihuni wa kuachiana nafasi
 
MBOWE wa CHADEMA ametangaza kuendelea kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa CHADEMA.

Najaribu kujiuliza...
(1) Je, akikabidhiwa na wananchi kiti cha urais wa JMT kupitia chama chake atakubali kung'ooka ili kuwapisha wenzake?

(2) Je, kuanzia leo ni vibaya kama MBOWE tutampa jina la DIKTETA wa CHADEMA?

Mtu mwenye tamaa mbaya anapimwa kwenye kitu kidogo. Leo MBOWE wa CHADEMA a.k.a KING'ANG'ANIZI amewadhihirishia watanzania kuwa yeye au pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA ni waroho wa madaraka, na wanatamani kuingia madarakani kwa sababu ya maslahi yao binafsi.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Kugombea ni haki yake kwa mujibu wa katiba, yanakiuka sheria yoyote.
Mkataeni ndani ya kura la box hiyo ndiyo demokrasia inayobeba jina la chama.
 
Mbowe kaonesha siasa safi maana kasema wakutane kwenye sanduku la kura wananchi waamue.Siyo yule bibi wa kizanzibari ambaye anataka itolewe fomu Moja tu ya kugombea ili ajitengenezee mazingira ya kushinda kiurahisi chini ya usaidizi wa polisi na tiss.
 
MBOWE wa CHADEMA ametangaza kuendelea kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa CHADEMA.

Najaribu kujiuliza...
(1) Je, akikabidhiwa na wananchi kiti cha urais wa JMT kupitia chama chake atakubali kung'ooka ili kuwapisha wenzake?

(2) Je, kuanzia leo ni vibaya kama MBOWE tutampa jina la DIKTETA wa CHADEMA?

Mtu mwenye tamaa mbaya anapimwa kwenye kitu kidogo. Leo MBOWE wa CHADEMA a.k.a KING'ANG'ANIZI amewadhihirishia watanzania kuwa yeye au pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA ni waroho wa madaraka, na wanatamani kuingia madarakani kwa sababu ya maslahi yao binafsi.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Ile CHA... ni Mali yake na tukifanya makosa ya kumpa nchi uwiiih . . . .!
 
Tumeshamshauri Lissu hapa..aachane nao.
 
MBOWE wa CHADEMA ametangaza kuendelea kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa CHADEMA.

Najaribu kujiuliza...
(1) Je, akikabidhiwa na wananchi kiti cha urais wa JMT kupitia chama chake atakubali kung'ooka ili kuwapisha wenzake?

(2) Je, kuanzia leo ni vibaya kama MBOWE tutampa jina la DIKTETA wa CHADEMA?

Mtu mwenye tamaa mbaya anapimwa kwenye kitu kidogo. Leo MBOWE wa CHADEMA a.k.a KING'ANG'ANIZI amewadhihirishia watanzania kuwa yeye au pamoja na viongozi wenzake wa CHADEMA ni waroho wa madaraka, na wanatamani kuingia madarakani kwa sababu ya maslahi yao binafsi.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Dikteta anagombea nafasi ya uenyekiti Taifa CHADEMA.

How that sounds? Well, we’ll see.
 
Kakuzuia kugombea ndugu - kachukue form then BOX litaamua, acha kutaka ushindi wa mezani ati ajitoe.
Utamu wa Demokrasia ndiyo huo acha kulia lia.
 
Mwanzilishi wa chadema ni baba mkwe wa mbowe, in fact ni chama cha kifamilia, na mali ya Familia siyo vizuri ikatoka nje ya Familia hasa endapo alikabihiwa mwana familia mbowe!
Dogs can't and never rule!
 
Back
Top Bottom