Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo upishi . Nomaaa sanaa
 
Mkeo atakuwa mnaija,hii ni Nigerian assorted meat stew

Wanigeria kwa kuchanganya nyama nimeona mapishi ya ogbono soup mmetiwa samaki nyama na kuku same dish 🤣🤣🤣
 
We acha kabisa ,😂😂 ,mie wameniweza kwenye jollof rice tuu
Wanigeria kwa kuchanganya nyama nimeona mapishi ya ogbono soup mmetiwa samaki nyama na kuku same dish 🤣🤣🤣
[/QUOTE
 
Ukiona hivyo huyo sio mke wako ni wa jamaa mwingine; Unganisha akili na Keyboard mkuu
 
Huwa nakichukia chakula chakupika hata mke wangu kwa sababu ya mafuta mengi ,hawa viumbe hata uwaelekeze vipi hawaelewagi.
 
Khaa nisivyopenda mafuta mengi najisikia mpaka kuvomit[emoji852]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…