Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani

hahahaahahaahaha kwahiyo mpaka saizi una matiti kijana wangu
 
Aaah mi hvo nilianza kula tangu kwa bibi yangu Mzaa mama Mbeya tukuyu.
 
Duuh ndo makorokocho gani hayo jamani? Pole mkuu mkeo kupika ana F yaaani zeeerrrooooo

Kwanza raha ya mayai uyagonge, ukoroge then ndo utie kwenye nyanya hadi yakauke vizuurii!

Sasa hapo unakulaje yai limesimama ivo? Mimi sijaelewa kwa kweli[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mmmmhhhh!!!!! Ngoja na mimi nijaribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…