Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmhhhh!!!!!!Duuh ndo makorokocho gani hayo jamani? Pole mkuu mkeo kupika ana F yaaani zeeerrrooooo
Kwanza raha ya mayai uyagonge, ukoroge then ndo utie kwenye nyanya hadi yakauke vizuurii!
Sasa hapo unakulaje yai limesimama ivo? Mimi sijaelewa kwa kweli[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Vipi mkuu?Mmmmhhhh!!!!!!
Mkuu sikushauri. Mm kwa sasa chakula kikubwa ni ugali fena dona, viazi, mihogo.michemsho,shida nakula sana nyama ya mbuzi ila nacontroll na maji ya ndimu na asali ya uvuguvugu kila alfajiri baada ya mazoeziMmmmhhhh!!!!! Ngoja na mimi nijaribu
Hapana kwa kweli, sio kwa tokolo hilo analopikiwa[emoji3] [emoji3] [emoji3]hongera mkuu,usiwasikilize wanaoponda chakula cha wife wako,mafuta mengi,mayai mengi nk ndio swaga unazozipenda ndio maana umekuja hadi kumsifia ina maana unakikubali chakula chake,na yeye kakupikia hivyo anajua mme wake ndio unapenda so enjoy mkuu msosi murua
hivi mkuu samahani ww ni duke yule prodyuza wa M-Lab?Mmmmhhhh!!!!!!
ndio maana mkiendaga kul kiepe wengine wanasema zege likauke,wengine lisikauke sana,wengine nataka nyama ya kiti moto maana ina mafuta sana,wengine usiweke ya mafuta,wengine nyama choma ikauke sana,au mi michuzi sitaki nk,so na yeye ndio chaguo lake,hivi una habari kuna wanawake hawajui hata kuchemsha maji jikoni sasa huyo mkewe anajua kupika labda atamwambia tu punguza mafuta kidogo nkHapana kwa kweli, sio kwa tokolo hilo analopikiwa[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hapana nadhani tunafanana majina tuhivi mkuu samahani ww ni duke yule prodyuza wa M-Lab?
Sawa nimekuelewa! Kila mtu anakipenda anachokipenda! Ila sidhani kama kuna mtu anapenda msosi mbaya!ndio maana mkiendaga kul kiepe wengine wanasema zege likauke,wengine lisikauke sana,wengine nataka nyama ya kiti moto maana ina mafuta sana,wengine usiweke ya mafuta,wengine nyama choma ikauke sana,au mi michuzi sitaki nk,so na yeye ndio chaguo lake,hivi una habari kuna wanawake hawajui hata kuchemsha maji jikoni sasa huyo mkewe anajua kupika labda atamwambia tu punguza mafuta kidogo nk
Hali pekeyake kuna mkewe na mtoto waokwanza kiafya mayai mawili yana tosha sana