ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Nami naona!Huyo demu ako mnaijeria nn??
Safi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami naona!Huyo demu ako mnaijeria nn??
Ni mke wangu anapikaMie nimebaki nashangaa tu rafiki. Kama anavigoogle anajua mwenyewe nini anaandika sababu mi sivielewi hata ujue.
Na sidhani kama ni kweli mke wake anapika hiko chakula.
Sijajua mimi nimekula tuAje tu aseme ni manyama gani hayo.
Cc. Mleta uzi.
Hahaha et vyumbu *****,Haha hadi vyumbu vimewekwa humo
Hahaa!!!! Atakuwa anakula kwaMimi mume wangu hali hayo machakula.
Bora mke wangu wa kwako ndo hovyo kabisaAsante kwa ugali mke wangu..nimeshiba vizuri sanaView attachment 746482
Hapana aiseeBora mke wangu wa kwako ndo hovyo kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapana aisee
Hapo pana
Vitamin
Protini
Wanga
Minerals
Fat & lipids
Sasa wakwako pale ni fat & lipids tu[emoji23] [emoji23]
Kutoka mieleka hadi huku!![emoji28][emoji28][emoji28]Huyo demu ako mnaijeria nn??
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Asante kwa ugali mke wangu..nimeshiba vizuri sanaView attachment 746482
Huwa hujisikii kutapika baada ya kula?Maana sio kwa hayo mafuta,mpaka kuyaangalia ni kichefuchefuYupo poa hana shida
Mafuta hapanaNipeni maoni leoView attachment 746412
Mbona fresh tuHuwa hujisikii kutapika baada ya kula?Maana sio kwa hayo mafuta,mpaka kuyaangalia ni kichefuchefu
Basi we na mkeo wote mna shidaMbona fresh tu
MbonaHata mi nlijuaga ni viazi kumbe mayai hahaaaa mkewe kwa mapishi ni.shida
Hamna mapenzi upofuBasi we na mkeo wote mna shida