Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nimejifungua muda sio mrefu.Nilijua inachemshwa... Mbona una majibu mabaya hivyo una mimba ndgo au?
Hivi kupika ni kufanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejifungua muda sio mrefu.Nilijua inachemshwa... Mbona una majibu mabaya hivyo una mimba ndgo au?
Mmmh mkuu kwa michuzi hii utanusurika na blood pressure kweli?Sijamwambia kama hajui kupika ila nimemtafutia mwalimu wa mapishi kwa gia kwamba akaongeze ujuzi zaid katika mapishiView attachment 752106
Ni maandalizi ya chakula hasa michanganyiko tofauti tofauti.Nimejifungua muda sio mrefu.
Hivi kupika ni kufanyaje?
We Mwanaume hongera unajua ndoaWe acha tu ila nampenda Sana mke wangu siwezi kumuacha kisa hajui kupika
Chai pia ina maandalizi ya viungo mbalimbali hadi iitwe chai. Maji yanachemshwa tu.Ni maandalizi ya chakula hasa michanganyiko tofauti tofauti.
Au wewe unajua hata kuchemsha maji ya kuoga ni kupika?
OouhChai pia ina maandalizi ya viungo mbalimbali hadi iitwe chai. Maji yanachemshwa tu.
Asante SanaWe Mwanaume hongera unajua ndoa
Hahaa hamna bwanaMkuu, mkeo amekufanya umekuwa maarufu hapa JF! 😀😀😀
AsanteDuh ila wewe ni mume bora, hongeraa
Yeeeees, karibu chaiOouh
Hvi huyo mkeo ulimtoa poli gani?Sijamwambia kama hajui kupika ila nimemtafutia mwalimu wa mapishi kwa gia kwamba akaongeze ujuzi zaid katika mapishiView attachment 752106
Vizuri sana mkuuSijamwambia kama hajui kupika ila nimemtafutia mwalimu wa mapishi kwa gia kwamba akaongeze ujuzi zaid katika mapishiView attachment 752106
UDSM!!!! Msomi wa mastersHvi huyo mkeo ulimtoa poli gani?
Killing someone slowly and scientifically. Kama una Mali za kutosha angalia sana.Sijamwambia kama hajui kupika ila nimemtafutia mwalimu wa mapishi kwa gia kwamba akaongeze ujuzi zaid katika mapishiView attachment 752106
Nguzo mojawapo ya Ndoa ni Uvuilivu umefanya jambo la muhimu kumpeleka shule ya upishi.We acha tu ila nampenda Sana mke wangu siwezi kumuacha kisa hajui kupika
Kosa LA muoaji kwa nini aoe mwanamke asiyejua kupika.....kipindi chote cha uchumba kwa nn hakumpa test ya mapishi........ndo mkome kuoa wadada waliokulia bwenini ....siye tulosoma kayumba school darasa la tatu unakua umeshajua kupika vitu vingiYan inakuwaje mwanamke hadi unaolewa hujui kupika? That's so unfair maana mnawatesa waume zenu nyambaaafuu nyiee msiojua kupika