Leo msibani nimemuona alien

Leo msibani nimemuona alien

Mkuu kiukweli yule hakua binadamu wa kawaida alafu macho huoni kiini cha macho yupo kasimama pekee haongei na mtu yaani kama vile hataki kujichanganya wala aguswe na mtu yeyote nikahisi nilivoenda mbele ili kupata position nzuri ili nipige picha kwakuibia nilivo geuka ili nipige pic full pic sikumkuta tena
Picha umezipiga mwenyewe then kiini hukioni hapo? Mbona mi nakiona? Mkuu acha kabisa hiyo kitu haikufai.
 
Back
Top Bottom