Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Sasa huyu ndiyo alien 👽?Acha kupuuza mambo wewe nilitaka kumpiga pic siku muona tena make kama alinihisi labda nimemuhisi sio kawaida badae kugeuka kutazama ili nipige pic kwa mbele yake sikumuona tenaView attachment 2351798View attachment 2351799
Ndugu yangu katika Uzi wetu pendwa ule wa Picha Picha sikuoni bhanaMuwe mnakula kwanza kabla hamjaenda kwenye misiba [emoji16]
Picha umezipiga mwenyewe then kiini hukioni hapo? Mbona mi nakiona? Mkuu acha kabisa hiyo kitu haikufai.Mkuu kiukweli yule hakua binadamu wa kawaida alafu macho huoni kiini cha macho yupo kasimama pekee haongei na mtu yaani kama vile hataki kujichanganya wala aguswe na mtu yeyote nikahisi nilivoenda mbele ili kupata position nzuri ili nipige picha kwakuibia nilivo geuka ili nipige pic full pic sikumkuta tena
Kweli mkuu huyo hata machoni tu humtizami anatisha me hapa tu nimeogopaSitumii bangi mkuu angalia kwenye comment nimeziweka pic 2 nilizobahatika kumpiga kwa upande
Tunaenda kwenye misiba hili tukale[emoji16]Muwe mnakula kwanza kabla hamjaenda kwenye misiba [emoji16]
Na chakula kikichelewa kuiva mkaanza kuona mauzauza msije kutusumbua hapa eti mmeona aliens [emoji16][emoji16][emoji16]Tunaenda kwenye misiba hili tukale[emoji16]