Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Huduma hii imenisumbua tangu asubuhi mtandao upo chini sana kwenye laini yangu ya Tigo ikabidi niweke Airtel napo mtandao wa Internet upo chini sana.
Je, wakuu ni simu yangu tu ama na wengine mna experience suala kama langu?
Je, wakuu ni simu yangu tu ama na wengine mna experience suala kama langu?