Leo mtandao wa Internet kwa mitandao ya tigo na Airtel upo chini sana ama kwangu tu wazee?

Leo mtandao wa Internet kwa mitandao ya tigo na Airtel upo chini sana ama kwangu tu wazee?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Huduma hii imenisumbua tangu asubuhi mtandao upo chini sana kwenye laini yangu ya Tigo ikabidi niweke Airtel napo mtandao wa Internet upo chini sana.

Je, wakuu ni simu yangu tu ama na wengine mna experience suala kama langu?
 
Back
Top Bottom