Leo na kesho ubingwa utaota mabawa kwa Mancity na Arsenal

Leo na kesho ubingwa utaota mabawa kwa Mancity na Arsenal

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje wanajamvi!

Naombeni mniamini Fulham watashinda leo goli 1-0 dhidi ya Man City. Na kesho wabahatishaji Arsenal watagongwa 2-0 na Manchester United.

Jumanne ManCity watafungwa 2-0 na Tottenham na mechi yao ya mwisho dhidi ya Westham watashindiliwa na nyundo 1-0 na Westham united.

Wabahatishaji Arsenal mechi yao ya mwisho kwenye ligi dhidi ya Everton watapigwa 2-0.

liverpool mechi zao mbili za mwisho dhidi ya Aston Villa na wolves watashinda na kutwaa ubingwa wa EPL.

Kwa iyo Manchester city na wabahatishaji Arsenal mechi zao zote watafungwa na hawatashinda wala kutoka draw.

Mechi ya Mancity na Fulham karibu inaanza baada ya robo saa navyoandika huu uzi.

LIVERPOOL FC BI BINGWA

Chaliifrancisco MAWEED Herzog MAWEED
 
Liverkuku huyu-huyu atwae ndoo ya EPL. Mkuu acha utani aisee
 
Mtoa mada tayari fulham kashakula viwili huko, ubingwa siku zote huwa ni mwepesi kwa hesabu za 'tuki' na 'waki', ila tukija uwanjani mambo huwa yanabadilika
 
Dogo jikite kwenye kubeba boksi.

Huku kwenye soka unapuyanga sana.

Sawa semenya wa udindivu? The Stress Challengerr
 
Daah chama langu linasuasua sana.

Ila naamini tumejikwaa tutanyanyuka na tutarudi tena mchezoni.
Nakumbukaga ulikuwaga na hii avatar picha ukaitoa ukaweka ya xavi amevaa Jersey ya Barcelona ukaitoa ukarudidha tena ya huyu dogo.
 
Arsenal wakikosa huu ubigwa nitatumia sana, anyway Young Africans watanifariji
 
Mkuu itakuwa umfahamu pep kwenye game za mwisho wa msimu ni zaidi ya anavyocheza fainali za UEFA
 
Back
Top Bottom