Leo na kesho ubingwa utaota mabawa kwa Mancity na Arsenal

Leo na kesho ubingwa utaota mabawa kwa Mancity na Arsenal

Kimahesabu Liverpool hawapo tena kwenye mbio za ubingwa wa EPL 2023/2024

Baada ya Man city kuwafunga Fulham 0-4 Liverpoll officially out of title race
 
Nilijua mashabiki wenye vituko ni WA Simba na yanga tu kumbe Hadi wa Liverpool
 
Pep huyu huyu? Unatania mkuu
Itakuwa ameanza kumfahamu pep akiwa man city pekee huku jamaa ndio maana hadi akapata nguvu za kuandika uzi.

Afatilie vizuri pep mechi za kumaliza msimu kwa misimu minne sasa pale EPL hajapoteza na hatopoteza.
 
Inakuwaje wanajamvi!

Naombeni mniamini Fulham watashinda leo goli 1-0 dhidi ya Man City. Na kesho wabahatishaji Arsenal watagongwa 2-0 na Manchester United.

Jumanne ManCity watafungwa 2-0 na Tottenham na mechi yao ya mwisho dhidi ya Westham watashindiliwa na nyundo 1-0 na Westham united.

Wabahatishaji Arsenal mechi yao ya mwisho kwenye ligi dhidi ya Everton watapigwa 2-0.

liverpool mechi zao mbili za mwisho dhidi ya Aston Villa na wolves watashinda na kutwaa ubingwa wa EPL.

Kwa iyo Manchester city na wabahatishaji Arsenal mechi zao zote watafungwa na hawatashinda wala kutoka draw.

Mechi ya Mancity na Fulham karibu inaanza baada ya robo saa navyoandika huu uzi.

LIVERPOOL FC BI BINGWA

Chaliifrancisco MAWEED Herzog MAWEED
Mnatabirigi ujinga! Umeona sasa! Man city hata likiishia hapo, Liverpool halikuti jana limepiga mtu 0-4
 
Siku moja moja ufiche ujinga wako🤸
Man city kombe ni letu
Chukueni tu kwa kweli! Sisi kuna mahali tuliteleza na ndicho kimetugharimu! Tuliporuhusu kushikwa ndevu hata pale machinjioni tukawa tumeisha!
 
Itakuwa ameanza kumfahamu pep akiwa man city pekee huku jamaa ndio maana hadi akapata nguvu za kuandika uzi.

Afatilie vizuri pep mechi za kumaliza msimu kwa misimu minne sasa pale EPL hajapoteza na hatopoteza.
Match ya pili mfululizo anapiga 3+ goals. Na mpaka ligi inaisha atatembeza vichapo sana. Jamaa atakuwa hamjui vyema kipara
 
Back
Top Bottom