Leo naacha Rasmi kutumia mtandao wa HALOTEL

Leo naacha Rasmi kutumia mtandao wa HALOTEL

BARDIZBAH

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2017
Posts
5,259
Reaction score
10,078
1.Back in days 2022 kuna kipindi watu walikua wakinipigia sipatikani hali ya kuwa simu ipo on, ikawa mpaka mtu arudie mara kwa mara kupiga ndio kuba muda labda itakubali.
2. Kuna kipindi mlishikilia pesa yangu hewani kwa wiki nzima niliyokuwa naituma pahala pa muhimu sana mkanikosesha uaminifu sehemu hiyo.
3. Leo hii 07-02-2025 mmenifanya nimekosa dili lenye pesa na ujobless wangu huu jamaa anakuja niambia nimekupigia simu hukupatikana Bardizbah.

Laini yenu naivunja rasmi leo kabla ya saa kumi jioni now naitumia kuwahabarisha tu watu kuwa hii namba haitokuwa hewani tena ntakuwa hewani kwa namba nyingine .
Go and faicki yua selfu@Halotel Tz
 
Halotel Mimi walinishinda tabia, hawana bonus, hawakopeshi muda wa maongezi na Wala hawana huduma ya wateja inayoeleweka. Kimbembe ununue luku kupitia halopea na tokeni zichelewe utakoma mzee
 
Mwenyew next wik naenda ivunja pia...ni wapuuz sanaa...mara wakuunge kweny huduma zao kwa lazima afu wakukate hela .....mbaya zaid huwez kuongea na mtu dk 5 bila network yao kukata...umekuwa mtandao wq kikuda sanaa
 
Halotel Mimi walinishinda tabia, hawana bonus, hawakopeshi muda wa maongezi na Wala hawana huduma ya wateja inayoeleweka. Kimbembe ununue luku kupitia halopea na tokeni zichelewe utakoma mzee
Mkuu huu mtando una muda lakini hawaendi mbele bali wanarudi nyuma.
 
Mwenyew next wik naenda ivunja pia...ni wapuuz sanaa...mara wakuunge kweny huduma zao kwa lazima afu wakukate hela .....mbaya zaid huwez kuongea na mtu dk 5 bila network yao kukata...umekuwa mtandao wq kikuda sanaa
Wapuuzi.
Na ukipiga huduma kwa wateja utakesha.
 
1.Back in days 2022 kuna kipindi watu walikua wakinipigia sipatikani hali ya kuwa simu ipo on, ikawa mpaka mtu arudie mara kwa mara kupiga ndio kuba muda labda itakubali.
2. Kuna kipindi mlishikilia pesa yangu hewani kwa wiki nzima niliyokuwa naituma pahala pa muhimu sana mkanikosesha uaminifu sehemu hiyo.
3. Leo hii 07-02-2025 mmenifanya nimekosa dili lenye pesa na ujobless wangu huu jamaa anakuja niambia nimekupigia simu hukupatikana Bardizbah.

Laini yenu naivunja rasmi leo kabla ya saa kumi jioni now naitumia kuwahabarisha tu watu kuwa hii namba haitokuwa hewani tena ntakuwa hewani kwa namba nyingine .
Go and faicki yua selfu@Halotel Tz
Kama upo hapa tandahimba tigo ni kila kitu
 
1.Back in days 2022 kuna kipindi watu walikua wakinipigia sipatikani hali ya kuwa simu ipo on, ikawa mpaka mtu arudie mara kwa mara kupiga ndio kuba muda labda itakubali.
2. Kuna kipindi mlishikilia pesa yangu hewani kwa wiki nzima niliyokuwa naituma pahala pa muhimu sana mkanikosesha uaminifu sehemu hiyo.
3. Leo hii 07-02-2025 mmenifanya nimekosa dili lenye pesa na ujobless wangu huu jamaa anakuja niambia nimekupigia simu hukupatikana Bardizbah.

Laini yenu naivunja rasmi leo kabla ya saa kumi jioni now naitumia kuwahabarisha tu watu kuwa hii namba haitokuwa hewani tena ntakuwa hewani kwa namba nyingine .
Go and faicki yua selfu@Halotel Tz
Hawa Wavietnam wakati wanakuja 2014 walijioambanua kwamba wanakuja kuleta mapinduzi ya mawasiliano Tanzania kuanzia kushusha gharama za mabando na kuuza simu kwa bei nafuu.

Mwanzoni walikuwa na ofa nyingi sana lakini baadae wakajaa kwenye mfumo, kwa sasa wapo hoi sana. Internet yao ipo slow sana baadhi ya maeneo.
 
Hakuna mamlaka za usimamizi ubora wa huduma zinazojitegemea.Nyingi uwekwa kwenye majukumu ambayo mwisho wa siku haziwezi kujua kuna kampuni mbovu au ni tapeli mpaka itakapotokea malalamiko yamekuwa mengi.
 
Hakuna mamlaka za usimamizi ubora wa huduma zinazojitegemea.Nyingi uwekwa kwenye majukumu ambayo mwisho wa siku haziwezi kujua kuna kampuni mbovu au ni tapeli mpaka itakapotokea malalamiko yamekuwa mengi.
Serikali haijajipanga kwa hili.
Na dhahiri halotel haitoi huduma stahiki kwa wateja.
 
Sasa utatumia mtandao upi? Mitandao ya simu za mkononi Tanzania ina changamoto kubwa sana. Natumia karibu line zote lakini mambo ni yaleyale..... Kama hujapunjwa bundle lazima mtandao uwe dhaifu.... Sijaona kampuni lenye unafuu kwa Tanzania.
 
Sasa utatumia mtandao upi? Mitandao ya simu za mkononi Tanzania ina changamoto kubwa sana. Natumia karibu line zote lakini mambo ni yaleyale..... Kama hujapunjwa bundle lazima mtandao uwe dhaifu.... Sijaona kampuni lenye unafuu kwa Tanzania.
Halotel wamezidi mkuu.
 
Kwa pamoja tunasonga mbele kuelekea kesho iliyobora zaidi kamwe atuache kuwa wabunifu na kuendelea kujijenga sisi ndiyo kizazi kinachobadilisha mchezo kila tunapounganishwa fursa mpya zinafunguka tunatengeneza kesho yetu kwa kufata matakwa yetu wenyewe tuna uhuru wa kubuni na uhuru wa kujieleza mchezo umebadilika sisi ndo wapindua meza tukiungana hakuna wa kutuzuia wakati umewadia muda ndio huu ni wakati wetu"


tigo sasa ni Yas
 
Halotel maeneo ya Goba ni Kimeo hatari, network haisomi kabisa
 
Back
Top Bottom