Leo naacha Rasmi kutumia mtandao wa HALOTEL

Leo naacha Rasmi kutumia mtandao wa HALOTEL

Sasa utatumia mtandao upi? Mitandao ya simu za mkononi Tanzania ina changamoto kubwa sana. Natumia karibu line zote lakini mambo ni yaleyale..... Kama hujapunjwa bundle lazima mtandao uwe dhaifu.... Sijaona kampuni lenye unafuu kwa Tanzania.
mkuu walau voda wanajitahidi hasa kwenye insu ya miamala, voda hawagandishi pesa yako hewani kihuni.
 
Mtu akiniambia anatumia huo mtandao naona sio mtu serious.Sijawahi kukuta mtu wa maana katika shughuli zangu anatumia hiyo line
 
Mtu akiniambia anatumia huo mtandao naona sio mtu serious.Sijawahi kukuta mtu wa maana katika shughuli zangu anatumia hiyo line
Me pia ndio nishakuwa mtu wa maana hawatonipata tena.
 
Back
Top Bottom