Leo naenda kutambulishwa kwa wakwe rasmi TANGA

Leo naenda kutambulishwa kwa wakwe rasmi TANGA

Usiku uende kwenye vigodoro,baikoko la kisosora ni kwere!
TAHADHARI:
Kuna m2 anaitwa Simbachamwene,mchunge sana mkeo
 
Swali la msingi sana mkuu manake ma binti wa sikuizi kimeo sana! Unaoa kumbe mileage ishaenda sana na mashine ishaguswa na mafundi kibao, haitotoi tena.

Dah! hivi speed meter au length meter unaisomea sehemu gani mkuu?
 
Niliomba nikapata bonus wakasema wao ndo wanakuja
si unajua ujasiliamali hauna likizo!
 
Habar zenu wakuu,nimeambatana na mchumba wangu hapa tupo safarin kuelekea tanga kwa ajili ya utambulsho,jaman naomben maombi yenu nikubaliwe na hatmae tupewe baraka zote,

yaani wewe tayari ndoa imekushinda na unashikiwa akili..kwao unaenda kufanya nini ? wazazi wake ndo waje kutambulishwa kwako na binti yao..mbona mnakuwa dhaifu sana vijana wa siku hizi?
 
Swali la msingi sana mkuu manake ma binti wa sikuizi kimeo sana! Unaoa kumbe mileage ishaenda sana na mashine ishaguswa na mafundi kibao, haitotoi tena.

engine ishaguswa guswa sana ....yaani gear zinapandana tu ...,miss ndo usiseme
 
kuwa mpole kwa kila nen wanalo ongea ili usikose katika Maongezi.
All the Best Mkuu.
 
Ukishakubaliwa uje kisosora nikufunde & nanikupe mbinu za watoto wa tanga wanataka nini!
 
Msimkatishe mwenzenu tamaa, ubarikiwe kwa uamuzi ndugu.
 
Hongeara sana na Inshallah kila kitu kitakwenda sawa kama ulivyotarajia,Usiache kupita nyumbani bara bara ya 9 karibu na maikiti wa MV 9 nishamwambia bibi kuna mgeni anakuja.....
 
hahaha, huwa wanalisha libwata ambalo utaishi maisha yako yote ukijua kuwa watu wa tanga pekee ndo wanajua mapenzi kuliko wote, ..kumbe kazi yao ni kuzungusha tu likiuno bila hata mpangilio...akizungukaaaaa weee bila hata manjonjo yeyote anafikir ndo kujua mapenzi...kuna watu wanatoka mikoani, wasomi wamesoma hadi kisomo namna ya kufanya majamboz ukikutana nao, hawaweki libwata lakini hutakuja uwaache...mimi mwanamke wa tanga simtaki...lakini kipenda roho hula nyama mbichi...

khaaa! weweee!
mwaya usimsikilize Hute, tupo tulioolewa na hatuja wahi hata kulisha hayo malimbwata. Nilifikiri hii dhana imaisha kumbe bado ipo ooh ukikutana na nazi Tanga usiiruke itakusemesha jamani siye twazaliwa tanga twakulia tanga mbona hutuyaoni haya?

watu wa Tanga ni wakarimu sana ingawa wengi wetu ni wavivu wa kazi za mikono hasa kilimo na ni baadhi ya kabila mafano wabondei na mdigo ni wavivu but msambaa anachapa kazi sana. kuhusu majambozi siye tunafundishwa kila kitu mambo ya baikoko hayo mwenzie meza. kwa mapish usiseme na kwa kulea ndoa usipime utaogeshwa weye, utabebwa weye raha zote ziko tanga babu asikwambie mtu.
 
Last edited by a moderator:
Kaka karibu Saaana wengine tunatimiza wiki Sasa katika ndoa YAANI ni tah teh tih tah teh vicheko mwanzo mwisho we ni Tanga mi aw kwangu nimemtoa Mbeya Songwee
 
Ukikaribishwa samaki kuwa makini unapomla! Usimgeuze unapomaliza upande mmoja, utajanyimwa mke:fish2:
 
Kaka karibu Saaana wengine tunatimiza wiki Sasa katika ndoa YAANI ni tah teh tih tah teh vicheko mwanzo mwisho we ni Tanga mi aw kwangu nimemtoa Mbeya Songwee

baada ya mwaka 1, rudi tena utupe maendeleo ya ndoa yako.
 
Back
Top Bottom