Leo nafunga pingu za maisha

Karibu kundini kijana!! Ndoa ni upendo na uaminifu na itadumu miaka nenda rudi hadi kifo kiwatenganishe!!
 
Hongera kaka kwa kuukubali huo msalaba mpaka goligoti...mungu akujalie wepesi katika kuubeba na akupe uvumilivu katika kuufikisha goligoti. Amen!

hivi ndoa ni msalaba?mbona mnanitisha...?


all the best,mtoa mada.....
 
Nakupongeza na kukuombea ndoa yenye amani. Ila uwe unaingia huo mkataba kwa hiari. Maana kuna mengi yasiyokupendeza kuhusu mwenza wako utayajua baada ya ndoa. Vumilia. Wenzio tuliotangulia wakati mwingine tunatamani tusingeoa kabisa. Kila la kheri.

si utoke :A S 13:
 
hongera sana Mungu akawape upendo Furaha na amani ktk ndoa yenu.
 
Hongera sana,nawatakia maisha yenye furaha, amani na upendo!
 
asanteni sana wadau kwa comments zenu za kutia moyo na best wishes hatimaye sio bachelor tena.kwa hiyo biashara za Misele ya usiku ndio hivyo tena nakuwa family man usela nimeuacha jana
 

Habari za jumapili wana JF leo tarehe 17 June 2012 nafunga ndoa na mpenzi wangu ambaye tumekuwa na mahusiano since 2007 tukiwa chuoni. Ndoa itafungwa katika kanisa la SDA Njiro wote mnakaribishwa. Namshukuru Mungu kuifikia siku hii


Ndugu Hongera kwa uamuzi uliofikia. Mungu aibariki ndoa yenu ipate dumu, na muwe na upendo siku zote za maisha yenu.

Na pia tunakukaribisha katika bahari ya Wapendanao yenye mawimbi makubwa kuliko meli, kuna samaki wakubwa wanaotisha hadi kukosa usingizi.

Waliokuwemo wanatamani kutoka na walio nje wanatamani kuingia katika Bahari.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Honey moon njena, mkurudi mama awe mja mzitoee sawa?
 
Hongera mkuu, Mungu akupe kila lililo jema katika maisha yako mapya ya ndoa
 
Hondera sana, mwenyezi mungu awajalie maisha mema na watoto wenye kheir na nyie...
 
Daah ahsante Mungu sasa imetimia miaka mitano pamoja na ups and down nyingi bado sijajuta kuwa kwenye ndoa hii much love to my children
Nazid kuhesabu baraka
 
Daah ahsante Mungu sasa imetimia miaka mitano pamoja na ups and down nyingi bado sijajuta kuwa kwenye ndoa hii much love to my children
Nazid kuhesabu baraka
Amina kaka.

Mungu azidi kuwategemeza katika yote
 
Yaan Uzi huu ni wa mwaka Jana....basi ngoja ninyamaze
 
Hongera sana mkuu
Ila mkaiheshimu ndoa
Yenu,mnapokoseana
Mkasameheane na


Mkajiandae kuvumia yatakayojir nda yake
Ukuta ndy sir yenu maana
Ndoa co lele mama

Ndo na iheshimiwe na wote
 
Habari za jumapili wana JF leo tarehe 17 June 2012 nafunga ndoa na mpenzi wangu ambaye tumekuwa na mahusiano since 2007 tukiwa chuoni. Ndoa itafungwa katika kanisa la SDA Njiro wote mnakaribishwa. Namshukuru Mungu kuifikia siku hii
Hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…