FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u
![]()
Nakupenda pia mwandani wangu, chuma la roho yangu, rafiki yangu wa maisha..mwaaaah
Gosh!!!
Love you too darling. Can't live without you. Umenikumbusha mbali kweli, siku ile nilipokuona kwa mara ya kwanza, moyo wangu uliongeza kasi ya mapigo. Nilijiuliza ntakutokeaje, na je nikipata ujasiri wa kukutokea halafu ukanikatalia ingekuwaje.
Nashukuru hukuniangusha. Japokuwa sikukukuta bikira, lakini sikujali. Hao walionitangulia hawanibabaishi. Najua hawana nafasi kabisa katika moyo wako. Walikuwa wanajifunza tu darling. Ntakupenda daima. Sitakuangusha.
Luv u my carpet and ceiling board.
Chris.
Gosh!!!
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u
![]()
mmmmh huyu naye ...😡jamani nyie mbona mnaweza vunja ndoa za watu
hii ni special thanx to my husband eeh
mmmmh huyu naye ...😡jamani nyie mbona mnaweza vunja ndoa za watu
hii ni special thanx to my husband eeh
I love you too my Baby. Asante saana kuniambia unanioenda katika forum Hii. See you later baby.
i love you soo much ..sijuti kukufahama and i wish to meet you in my next life after this world.You are my reason to live..see you later darling
aaaah hivi mnajua nimepigwa butwaa sikumaanisha hivi jamani was really serious nyie mnadhani joke😡
aaaah hivi mnajua nimepigwa butwaa sikumaanisha hivi jamani was really serious nyie mnadhani joke😡
eeeh can imagine mbona mmefika watatu tayari 😱 katika muda mfupi tu