Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

no komenti hapo kwenye bold, ila nadhani kijana unahitaji kununua msuli maana naelekea kilwa kufundisha adabu, ili ujue mke wa mtu ni sumu.

You have made my day mkuu. hahahahaha!
 
Love you too darling. Can't live without you. Umenikumbusha mbali kweli, siku ile nilipokuona kwa mara ya kwanza, moyo wangu uliongeza kasi ya mapigo. Nilijiuliza ntakutokeaje, na je nikipata ujasiri wa kukutokea halafu ukanikatalia ingekuwaje.

Nashukuru hukuniangusha. Japokuwa sikukukuta bikira, lakini sikujali. Hao walionitangulia hawanibabaishi. Najua hawana nafasi kabisa katika moyo wako. Walikuwa wanajifunza tu darling. Ntakupenda daima. Sitakuangusha.

Luv u my carpet and ceiling board.
Chris
.

Kaka haya maneno yametulia sana, naomba niyatumie sehemu...ila nitayapiga kwa ung'eng'e sidhani kama shorwe ninayemuwinda atachomoa.
 
Love you too darling. Can't live without you. Umenikumbusha mbali kweli, siku ile nilipokuona kwa mara ya kwanza, moyo wangu uliongeza kasi ya mapigo. Nilijiuliza ntakutokeaje, na je nikipata ujasiri wa kukutokea halafu ukanikatalia ingekuwaje.

Nashukuru hukuniangusha. Japokuwa sikukukuta bikira, lakini sikujali. Hao walionitangulia hawanibabaishi. Najua hawana nafasi kabisa katika moyo wako. Walikuwa wanajifunza tu darling. Ntakupenda daima. Sitakuangusha.

Luv u my carpet and ceiling board.



Chris.[/QUOT


mhhhh..........

Piga jaramba nyamayao, FL1 akikubali kuunguzwa, nahamishia makazi kwako.
 
Kaka haya maneno yametulia sana, naomba niyatumie sehemu...ila nitayapiga kwa ung'eng'e sidhani kama shorwe ninayemuwinda atachomoa.

Ruksa kaka, ila urekebishe kidogo, umfagilie ilimkuta bikira japokuwa ilikuwa used. Women like to be cheated!
 
Sikujua FL1 kama wewe ni mtaalamu wa kuwapanga hawa jaama hivi. Duuu. Kwa hiyo kila mmoja anakuja kwa wakati wake, alafu kila mmoja anang'ang'nia umiliki no matter what! Basi kweli wewe uko JUU!
 
BLATANT,unnecessary misuse of bandwidth space. MODS inject some seriousness by carpeting first lady for at least a week
 
Sikujua FL1 kama wewe ni mtaalamu wa kuwapanga hawa jaama hivi. Duuu. Kwa hiyo kila mmoja anakuja kwa wakati wake, alafu kila mmoja anang'ang'nia umiliki no matter what! Basi kweli wewe uko JUU!


Mkuu naona hujaiangalia avatar yake vizuri.
 
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u

921-i_love_you_teddy_bear.jpg

showing-some-love.gif
 
Nitajitahidi kukibeba kiume kwa hasira, hasa baada ya FL1 kukubali kuwa burned.

Mkuu hapo tunafungua ukarasa mmoja, maana umem endorse FL1 kuwa shemeji yako rasmi, nitakupa msaada kwa nyamayao maana wanasikilizana vizuri na wifey, ngoja nimpange aanze kukupigia one two chini kwa chini.
 
Ruksa kaka, ila urekebishe kidogo, umfagilie ilimkuta bikira japokuwa ilikuwa used. Women like to be cheated!

Umeishawahi fikiria kwenda iba gerezani? I cheat a lot with gals, ndo maana wananizimia....kuna demu nilimwambia wewe mtamu kuliko mademu wote niliwahi waona...sikumbuki kilichofuata.....
 
Mkuu hapo tunafungua ukarasa mmoja, maana umem endorse FL1 kuwa shemeji yako rasmi, nitakupa msaada kwa nyamayao maana wanasikilizana vizuri na wifey, ngoja nimpange aanze kukupigia one two chini kwa chini.

Mkuu dalili ya mvua ni mawingu. Tangu tumeanza, alikuwa ananishushua mimi tuuuuuu. Wewe wala. Nisaidie kwa nyamayao mkuu, mwambie na shem, msaada wake ni muhimu sana.
 
Umeishawahi fikiria kwenda iba gerezani? I cheat a lot with gals, ndo maana wananizimia....kuna demu nilimwambia wewe mtamu kuliko mademu wote niliwahi waona...sikumbuki kilichofuata.....

Mi nakumbuka. Ulijisevia kwa mkopo. They are all the same.
 
Back
Top Bottom