Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

aaaah hivi mnajua nimepigwa butwaa sikumaanisha hivi jamani was really serious nyie mnadhani joke😡

Tell them darling. Wao akili yao ulikuwa unajoki, kumbe ulikuwa unaniambia seriously. Love you more and more. Endelea na msimamo huo my sugar
 

kumbe yamekuwa hayo shemu!!!!!!!!na wewe ujachacha?mhhhhhhhhhhhhhhh
 
Hao wengine wababaishaji. Ndio wale waliokuanza kabla sijakutana na wewe nikaamua kukuoa. Achana nao. Ni mimi na wewe daima.

nalia pole nalia pole sana eeeh sikujua kama yatakuwa makubwa hivi

Chrispin ni lini utakuwa ?? ni lini utakuwa serious weye ?????
 
Mimi aliishanitolea nje ananihisi ni mdau wa tiGo!

pole lakini kwenye avatar yako umesema kuwa Masanilo is Alcohilic kweli unaweza kuwa hivyo jisafishe kwanza ndo uende kwa fisrt lady
 
pole lakini kwenye avatar yako umesema kuwa Masanilo is Alcohilic kweli unaweza kuwa hivyo jisafishe kwanza ndo uende kwa fisrt lady

Ndugu yangu nadhani napenda pombe zaidi halafu akina first ladies wanafuata!
 
nalia pole nalia pole sana eeeh sikujua kama yatakuwa makubwa hivi

Chrispin ni lini utakuwa ?? ni lini utakuwa serious weye ?????

Usilie mpenzi, wajua ukilia na mimi nitalia na wewe, huyo crispin na kigogo nimekwisha waandikia ujumbe mkali kwenye PM waachane na mapenzi yetu na wewe usiwaonee huruma watandike kibuti kama alichokipata Masanilo. Na nikiona wanaendelea kukufuata mpenzi mimi na bonyeza kile kitufe cha report this post kuweka kumbukumbu kwa moderators ili nisije kulaumiwa nikimtoa mtu kibusha.
 
nalia pole nalia pole sana eeeh sikujua kama yatakuwa makubwa hivi

Chrispin ni lini utakuwa ?? ni lini utakuwa serious weye ?????

Am very very serious my dear wife. I will always love you. Achana na hao wanaotaka kuvunja ndoa yetu. Washindwe na walegee kila kitu chao hasa kile kinachosababisha watake kuvunja ndoa yetu. Sasa fanya hivi, badilisha hiyo avatar yako, uweke ya firstlady wa awamu ya tatu, uone kama utasumbuliwa tena na hawa wakware.
 
Ndugu yangu nadhani napenda pombe zaidi halafu akina first ladies wanafuata!

Tuko pamoja mkuu. Lakini kwangu mimi anaanza firstlady1, pombe then wagombea wenza wa firstlady1.
 
Think twice FL1, bado sijakata tamaa....hebu soma hilo shairi kwenye PM yako....
 
Sasa fanya hivi, badilisha hiyo avatar yako, uweke ya firstlady wa awamu ya tatu, uone kama utasumbuliwa tena na hawa wakware.

no komenti hapo kwenye bold, ila nadhani kijana unahitaji kununua msuli maana naelekea kilwa kufundisha adabu, ili ujue mke wa mtu ni sumu.
 
Think twice FL1, bado sijakata tamaa....hebu soma hilo shairi kwenye PM yako....

Tumesoma pamoja na shemeji yako, nadhani bado unahitaji darasa hayo maneno yako unaweza kumnasa binti wa form two au three kwa wifey wangu huwezi fanikiwa, kuhusu tigo usitie shaka wenyewe twajifaidia tu ndani kwa ndani.
 
no komenti hapo kwenye bold, ila nadhani kijana unahitaji kununua msuli maana naelekea Kilwa kufundisha adabu, ili ujue mke wa mtu ni sumu.

Kaka omba Msamaha jamaa akikuendea Kilwa ...habari yake pevu!
 
 
Tumesoma pamoja na shemeji yako, nadhani bado unahitaji darasa hayo maneno yako unaweza kumnasa binti wa form two au three kwa wifey wangu huwezi fanikiwa, kuhusu tigo usitie shaka wenyewe twajifaidia tu ndani kwa ndani.

Mkuu umeniuwa kabisa.....
 
i lav u my first lady ur the part of me.

thanks for the chocolate, wote hao wanakutania tu, embu waeleze ukweli kuhusu sisi kuwa tunaamka pamoja na tunala pamoja sasa uko kifuani mwangu.....tunasoma vsms vyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…