Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

no komenti hapo kwenye bold, ila nadhani kijana unahitaji kununua msuli maana naelekea kilwa kufundisha adabu, ili ujue mke wa mtu ni sumu.

You have made my day mkuu. hahahahaha!
 

Kaka haya maneno yametulia sana, naomba niyatumie sehemu...ila nitayapiga kwa ung'eng'e sidhani kama shorwe ninayemuwinda atachomoa.
 
 
Kaka haya maneno yametulia sana, naomba niyatumie sehemu...ila nitayapiga kwa ung'eng'e sidhani kama shorwe ninayemuwinda atachomoa.

Ruksa kaka, ila urekebishe kidogo, umfagilie ilimkuta bikira japokuwa ilikuwa used. Women like to be cheated!
 
najuuuuuuuuuuuuta kuwafahamu

Usijute sana mamii. Wasamehe bure mama. Lakini kosa lilikuwa lako ulipokubali kuwaonjesha. Lakini kwangu haijalishi. Yaliyopita si ndwele.
 
Sikujua FL1 kama wewe ni mtaalamu wa kuwapanga hawa jaama hivi. Duuu. Kwa hiyo kila mmoja anakuja kwa wakati wake, alafu kila mmoja anang'ang'nia umiliki no matter what! Basi kweli wewe uko JUU!
 
BLATANT,unnecessary misuse of bandwidth space. MODS inject some seriousness by carpeting first lady for at least a week
 
Sikujua FL1 kama wewe ni mtaalamu wa kuwapanga hawa jaama hivi. Duuu. Kwa hiyo kila mmoja anakuja kwa wakati wake, alafu kila mmoja anang'ang'nia umiliki no matter what! Basi kweli wewe uko JUU!


Mkuu naona hujaiangalia avatar yake vizuri.
 
 
Ruksa kaka, ila urekebishe kidogo, umfagilie ilimkuta bikira japokuwa ilikuwa used. Women like to be cheated!

Umeishawahi fikiria kwenda iba gerezani? I cheat a lot with gals, ndo maana wananizimia....kuna demu nilimwambia wewe mtamu kuliko mademu wote niliwahi waona...sikumbuki kilichofuata.....
 
 
Umeishawahi fikiria kwenda iba gerezani? I cheat a lot with gals, ndo maana wananizimia....kuna demu nilimwambia wewe mtamu kuliko mademu wote niliwahi waona...sikumbuki kilichofuata.....

Mi nakumbuka. Ulijisevia kwa mkopo. They are all the same.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…