Leo namaliza rasmi Utata wa Manzoki kuja Kuichezea Simba SC Dirisha hili Dogo

Leo namaliza rasmi Utata wa Manzoki kuja Kuichezea Simba SC Dirisha hili Dogo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wana Simba SC Wenzangu kuanzia leo anzeni Kumsahau na kuachana nae kabisa Mshambuliaji Cesar Lobi Manzoki kwa nina Uhakika wa 100% na najiamini kabisa kuwa hatokuja tena Kuichezea Simba SC hasa kwa Dirisha hili Dogo labda itokee tu kwa Msimu ujao.

Hivyo basi niwaombe Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah Mhene 'Try Again' na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally 'Kispika' haraka sana Wawaambie ukweli huu Mchungu wana Simba SC ili wasiendelee Kuathirika zaidi Kisaikolojia kwa Kumtegemea Manzoki ambaye si tu haji bali hana hata hamu na Simba SC kwa sasa.

Nasisitiza tu Manzoki haji Simba SC.
 
Manzoki wa nini wakati tumeshasajili world class player aliyecheza ligi kuu ya ufaransa na kukabwa na kina mbape na messi??
Saido ntibazonkiza ndio suluhisho letu na anatosha na tumefunga usajili..
GENTAMYCINE sijakubali na sijaupenda Usajili wake Saido Ntibanzokinza kwani sioni huo Msaada wake kwa Simba SC kwani ni Mzee na nilimjua tokea mwaka 2003 katika Michuano ya Vijana ya Afrika Mashariki Mkoani Arusha alikocheza Fainali akiwa na Mkongwe mwingine ndani ya Simba SC Erasto Edward Nyoni.
 
GENTAMYCINE sijakubali na sijaupenda Usajili wake Saido Ntibanzokinza kwani sioni huo Msaada wake kwa Simba SC kwani ni Mzee na nilimjua tokea mwaka 2003 katika Michuano ya Vijana ya Afrika Mashariki Mkoani Arusha alikocheza Fainali akiwa na Mkongwe mwingine ndani ya Simba SC Erasto Edward Nyoni.
Sasa mkuu fungu la usajili hakuna tufanyeje?
Saivi kinachofanyika ni ku buy time paka Jan 15 dirisha la usajili lifungwe Kisha utasikia uongozi unatoa sababu za kuwa dirisha dogo ni ngumu kupata quality players na pia manzoki amepata majeruhi ya mda mrefu tumsubilie apone tutamsajili dirisha lijalo..

Kiufupi uongozi unaendesha timu kipropaganda zaidi na washabiki kama vile hawaoni haya wamefanywa mazuzu
 
Wakati Yanga Wana husishwa na Bobos na Fabrice Ngoma Simba wanasajili kibabu Saidoo na bado Simba wanautamani ubingwa.
Uwa najiuliza hivi awa mbumbumbu fc wako serious kweli?
 
Wakati Yanga Wana husishwa na Bobos na Fabrice Ngoma Simba wanasajili kibabu Saidoo na bado Simba wanautamani ubingwa.
Uwa najiuliza hivi awa mbumbumbu fc wako serious kweli?
Kwani hao wachezaji ndo ubingwa?? Tulia redio ubingwa unapatikana hata wakicheza kina Nyoni..hujaona ubingwa ulienda Argentina japo Mbape alikiwasha?
 
Kwani hao wachezaji ndo ubingwa?? Tulia redio ubingwa unapatikana hata wakicheza kina Nyoni..hujaona ubingwa ulienda Argentina japo Mbape alikiwasha?
Wewe hutonielewa, watu wa mpira tu ndio wanaelewa nilicho andika wewe endelea kula Raha za kuwa shabiki.
Kunatofauti kubwa ya shabiki na watu wanao fahamu mpira.
 
Wewe hutonielewa, watu wa mpira tu ndio wanaelewa nilicho andika wewe endelea kula Raha za kuwa shabiki.
Kunatofauti kubwa ya shabiki na watu wanao fahamu mpira.
Usichukulie serious kila kitu utakufa mapema..sio kwamba sijakuelewa ila nilitaka tuu kukutoa kwenye angle yako..sisi mashabiki hatuchukulii kila kitu venye mnachukulia
 
Si mlisema anaipenda simba kuliko anavoipenda pesa. Imekuaje tena??
Mkuu inasikitisha sana, mi shabiki wa Simba lakini hili swala la Manzok linaumiza kichwa sana mashabiki. Binti wa Gonzalez alishapenyezewa na manager wa Manzok kuwa dogo kapewa mpunga mrefu haiwezekani kuvunja mkataba wake, hiyo hela ifanye mambo mengine lakini bado Simba ikatoa hela ya acommodation kwa nani yule...eti kwenda China kuongea nae na kushangaa magorofa.😣Kutokufuatwa ushauri wa binti wa Gonzalez akaamua kujiuzulu.
 
GENTAMYCINE sijakubali na sijaupenda Usajili wake Saido Ntibanzokinza kwani sioni huo Msaada wake kwa Simba SC kwani ni Mzee na nilimjua tokea mwaka 2003 katika Michuano ya Vijana ya Afrika Mashariki Mkoani Arusha alikocheza Fainali akiwa na Mkongwe mwingine ndani ya Simba SC Erasto Edward Nyoni.
Ninyi ndio watu mnaoiharibia Simba.
Saido ni mtu muhimu sana.Ninyi ndio mliomsema sana Morrison na unaona mabalaa yake huko yanga.Wakati mwingine huwa naona ni bora viongozi wafanye wajuavyo kuliko kusikiliza watu wajinga

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wana Simba SC Wenzangu kuanzia leo anzeni Kumsahau na kuachana nae kabisa Mshambuliaji Cesar Lobi Manzoki kwa nina Uhakika wa 100% na najiamini kabisa kuwa hatokuja tena Kuichezea Simba SC hasa kwa Dirisha hili Dogo labda itokee tu kwa Msimu ujao.

Hivyo basi niwaombe Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah Mhene 'Try Again' na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally 'Kispika' haraka sana Wawaambie ukweli huu Mchungu wana Simba SC ili wasiendelee Kuathirika zaidi Kisaikolojia kwa Kumtegemea Manzoki ambaye si tu haji bali hana hata hamu na Simba SC kwa sasa.

Nasisitiza tu Manzoki haji Simba SC.
Yusuph Bakheresa kahamia kwa Chama.
 
Wakati Yanga Wana husishwa na Bobos na Fabrice Ngoma Simba wanasajili kibabu Saidoo na bado Simba wanautamani ubingwa.
Uwa najiuliza hivi awa mbumbumbu fc wako serious kweli?
Huyo kibabu mnayemuita kuna mchezaji wa utopolo yeyote kijana aliyemzidi takwimu za magoli na assist G/A mpk sahv? Saidoo n addition nzuri Kwa Simba ..Kwanza ana uzoefu na ligi tiyari na tokea amekuja Tanzania mpk sasa ana takwimu nzuri za goals and assists kuliko hata hao vijana wenu WA hapo utopoloni
 
Hili la Manzoki nilipoona anapenda tu china nikajua hakuna jipya hawezi na hataweza kusajiliwa Simba.
 
Back
Top Bottom