Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Dunia ina wachezaji wengi sana why tukae kumfikiria Manzoki tu kwani yeye ndiye Messiah?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni tatizo la Simba, Viongozi wake Simba na Mashabiki wake...Dunia ina wachezaji wengi sana why tukae kumfikiria Manzoki tu kwani yeye ndiye Messiah?
Kweli kabisa.. Phiri alikuja kimya kimya lakini wamotoo.Wachezaji hyped mara nyingi hawaleti kilicho bora
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tangu July 2022 nilijua hili halitawezekana January2023.Wana Simba SC Wenzangu kuanzia leo anzeni Kumsahau na kuachana nae kabisa Mshambuliaji Cesar Lobi Manzoki kwa nina Uhakika wa 100% na najiamini kabisa kuwa hatokuja tena Kuichezea Simba SC hasa kwa Dirisha hili Dogo labda itokee tu kwa Msimu ujao.
Hivyo basi niwaombe Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah Mhene 'Try Again' na Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally 'Kispika' haraka sana Wawaambie ukweli huu Mchungu wana Simba SC ili wasiendelee Kuathirika zaidi Kisaikolojia kwa Kumtegemea Manzoki ambaye si tu haji bali hana hata hamu na Simba SC kwa sasa.
Nasisitiza tu Manzoki haji Simba SC.
Wakati Yanga Wana husishwa na Bobos na Fabrice Ngoma Simba wanasajili kibabu Saidoo na bado Simba wanautamani ubingwa.
Uwa najiuliza hivi awa mbumbumbu fc wako serious kweli?
Kipindi mnamsajili nyinyi mlikuwa hamuutaki ubingwa?mtu wa mpira hawezi comment hivi,wewe ni oya oya tu kama wengine...Wewe hutonielewa, watu wa mpira tu ndio wanaelewa nilicho andika wewe endelea kula Raha za kuwa shabiki.
Kunatofauti kubwa ya shabiki na watu wanao fahamu mpira.