Leo namalizia rasmi Unujumu / utabiri wangu wa uhakika juu ya Simba SC na Ubingwa wa NBC Premier League

Leo namalizia rasmi Unujumu / utabiri wangu wa uhakika juu ya Simba SC na Ubingwa wa NBC Premier League

Ili uwe utabiri unabidi utuambie msimu huu bingwa ni nani na sio kukisia.

Tarehe 8 tukimfunga yanga automatically tutakuwa tuna nafasi kubwa ya kuwa bingwa coz tutakuwa tumemalizana na timu ngumu na sumbufu(yanga+azam), na tutakuwa tumebakiza mechi 1 tu away dhidi ya kengold na kwa timu zitakazobakia hakuna wa kutusimamisha. Yanga atakuwa bado hajamalizana na azam,coastal na tabora timu ngumu na sumbufu.

Na yanga atakua na mechi nyingi ngumu away.
 
Tofauti ya wachezaji wa Simba Sc na yanga ni kwamba yanga wakipoteza mechi wanatafuta walipokosea na mechi zinazo fuata wanakuja wakiwa wamebadilika lakini wa wachezaji wa simba huwa hawabadiliki hata baada ya kupoteza mchezo ulio pita.

Tofauti nyingine wachezaji wa yanga hata wakiwa wanaona wameshashinda mechi,lakini dakika 90 hazijaisha,huwa wanapeleka moto hadi refa atakapo puliza filimbi kuashiria mpira kumalizika dakika zote tisini lakini wachezaji wa Simba Sc wakishinda huwa wanapoza mchezo,wanabweteka,hatimaye wanakuwa kwenye hatari ya kufungwa tena.

Kitu kingine Simba sc huwa wanakera, nikitega Simba sc washinde wakiwa wamevaa jezi nyeupe siku hiyo,siku hiyo wanavaa jezi nyekundu.Nikitega Simba sc washinde wakiwa wamevaa jezi nyekundu siku hiyo,siku hiyo Simba sc wanavaa jezi nyeupe.Kuna mechi fulani ya away ilikuwa Waydad Vs Simba sc nilitega Simba washinde Ile mechi wakiwa wamevaa jezi nyeupe maana nilijua Simba wakiwa away jezi yao ya away ni nyeupe na ilikuwa Simba washinde ile mechi waingie nusu fainali ya ligi ya mabingwa lakini wakashinda Waydad waliokuwa wamevaa jezi nyeupe.

Mechi ya makundi ya Cs Constantine vs Simba sc nilikuwa nimetega Simba washinde wakiwa wamevaa jezi nyekundu maana niliona Simba sc wanavaa jezi nyekundu popote nyumbani na away na ilitakiwa Simba sc washinde ile mechi ili wamalize biashara mapema ya kuingia robo fainali lakini Simba sc ndo wakavaa jezi nyeupe,wakafungwa.

Simba sc inatakiwa wabadilike,wasome alama za nyakati wajue ni wapi wanatakiwa kubadilika.
Mimi huwa naipenda rangi nyekundu na kuna wakati niliwahi kuisifia himu Jf lakini huwa naipenda rangi nyekundu kwa sababu zangu maalum za kiroho.

Simba sc wajue kwa sasa kuna mtu anaitia mikosi jezi nyekundu na manara aliwahi kuropoka kwamba yanga watachukua ubingwa mfululizo mpaka mtu huyo aondoke madarakani. Pia ipo maana ya goli la mama kiroho,hata mimi nilizaliwa kutokana na goli la mama yangu na ugumu wa Simba Sc kushinda mechi upo hapo.Wakati mwingine Simba sc wanashinda wakiwa wamevaa jezi nyekundu ni kwa sababu tu wanakuwa na siku nzuri kazini lakini mara nyingi huwa nawasaidia kiroho Simba sc washinde hata bila wao kujua wameshindaje.Simba sc ilikuwa hata wasivuke kuingia makundi katika kombe hili la shirikisho maana Ile timu ya Libya ilikuwa ni kisiki cha mpingo kwao lakini kuna maneuver yalifanyika ili kuilegezea Simba sc bila hata hao Simba sc kujua. Na kwenye ligi ya sasa ya Nbc bila hayo maneuver kufanyika Simba sc wangekuwa hata nafasi ya nne huko. Maneuver huwa yanafanyika bila hata uongozi wenyewe wa Simba Sc au wachezaji wa Simba Sc kujua.

Gentamycine kama uko karibu na viongozi wa Simba Sc au wachezaji wa Simba Sc waambie wapendelee kuvaa jezi nyeupe kwenye mechi zao wakati huu ambapo huyo mtu anayeitia mkosi jezi nyekundu bado yuko madarakani.Hasa hasa wapendelee kuvaa jezi nyeupe kwenye mechi zao za away kwenye ligi ya Nbc na pia wavae jezi nyeupe kwenye mechi zao za away zinazokuja za robo fainali kombe la shirikisho watanishukuru baadaye.
Hata tarehe 8 Simba sc wakipenda wavae jezi nyeupe. Uzuri wa jezi nyeupe hata kama mmeroga kutokana na utamaduni wenu Simba sc ulivyo,kile mlichoroga kinachukua nafasi yake kutokana na utamaduni wenu na jezi nyeupe inabaki na baraka zake.Hivyo mnakuwa na uhakika endapo nafasi ya uchawi itashindwa kufanya kazi.

Gentamycine waambie Simba sc kwamba jezi nyeupe ndiyo ina baraka za ushindi kwenye mechi zao kuliko jezi nyekundu.Au kama viongozi wa Simba Sc wamo humu waone hii comment yangu na wachukue hatua.
Uchawi
Ulozi
Wanga
Mzee wa busara
Masolosolo
Tambitambi
Zikabwe
 
Ukiachana na ushirikina ,yanga atamfunga simba Tena,vinginevyo nafuu yake atafute sare ndio nafuu ya simba
 
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa NUJUMU / TABIRI zangu kwa 95% huwa zinaenda vyema na kwa za hivi karibuni Mbili za Simba SC na Singida Fountain Gate FC na Simba SC na Azam FC zimeenda vile vile nikimaamisha kufanikiwa kwa 100%

Hivyo basi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nisiwachosheni sana na niwape huu UTABIRI / UNUJUMU wangu wa mwisho juu ya Klabu yetu ya Simba.

Ni kwamba kama Simba SC itashinda Mechi yake dhidi ya Yanga SC tarehe 8 Mwezi ujao (Machi) basi jueni Simba SC itaenda kuwa Bingwa Msimu huu wa 2024 / 2025 kwakuwa nimeona katika NUJUMU / TABIRI zangu kuwa kuna Mechi moja au mbili Yanga SC ataka Sare na akifanya masihara hata Kufungwa (na hii ni baada ya Kucheza na Simba SC)

Hivyo nimalizie tu kwa kusema kama kuna Kitu ambacho Uongozi wa Simba SC na wana Simba SC wote tunatakiwa Kukifanya ni kupanga sasa MIKAKATI YA KUFA MTU, ya KIVITA na hadi ya KUKUFURU ni jinsi gani TUTAMFUNGA Yanga SC hiyo tarehe 8 Mwezi Machi, 2025.

Tukitoka Sare / Suluhu na Yanga SC au Kufungwa nao tena basi wana Simba SC wote TUSIPOTEZE muda wetu KUJIGAMBA kuwa tutakuwa Mabingwa labda tutakuwa Mabingwa wa UMBUMBU ( UNGENDEMBWE) na UPUMBAVU (UPOPOMA)

Kama kuna Kiongozi yoyote wa Simba SC hapa JamiiForums na Mwandamizi pia au wale Watu wa Benchi la Ufundi tafadhali hakikisheni mnanifuatilia GENTAMYCINE hapa JamiiForums kwani kuna MAELEKEZO MAALUM (ya Kiufundi Uwanjani, ya Kiutamaduni / Kiuchawi na ya Kipropaganda) nitawapa kuelekea Mechi yetu dhidi ya Yanga SC na tafadhali NAWAONYENI mapema nawaomba MYAZINGATIE kwa 100% kama ambavyo nitawaelekezeni.

Kwa sasa tuacheni kuiwaza Mechi rahisi ya CAFCC dhidi ya Al Masri ya Misri na AKILI zetu zote tuzielekeze katika hii Mechi ambayo ni NGUMU na MUHIMU sana Kwetu Simba SC kama kweli tunautaka UBINGWA wa Msimu huu wa NBC Premier League.

Kati ya Ijumaa au mapema Jumamosi ya Wiki hii nitakuja na hayo MAELEKEZO MAALUM kwa Simba SC na narudia tena KUSISITIZA Kwenu kuwa MYAFUATE kama ambavyo nitawaelekezeni kwani Mimi ndiyo GENTAMYCINE na nina KARAMA nyingi NIMEKARIMIWA nae Mwenyezi Mungu hivyo mkinifuata na kunisikiliza mtafanikiwa.

Na kuanzia leo tusilaumiane na wala tusipoteze muda kujadili Mechi yetu ya jana na Azam FC kwani ni Matokeo ambayo NILIYATEGEMEA na KUYANUJUMU / KUYATABIRI mapema tu na kutokea vile vile nilivyosema.

Twendeni MSITUNI kuipangia Yanga SC mauwaji ya KISHALUBELA / KIKATILI hiyo tarehe 8 Mwezi Machi, 2025 kupitia Slogan yetu ya NGUVU MOJA na hii mpya ya UBAYA UBWELA na kamwe tusikate tamaa kwani bado Simba SC ina nafasi ya kuwa Bingwa Msimu huu endapo tu tutajipanga KIMIKAKATI na tuisimamie.

Nimemaliza.
 
Hata sio ngumu kutabiri, ubingwa mwaka huu utaamuliwa na mechi ya Derby, atakaeshinda ni bingwa huyo
 
Ili uwe utabiri unabidi utuambie msimu huu bingwa ni nani na sio kukisia.

Tarehe 8 tukimfunga yanga automatically tutakuwa tuna nafasi kubwa ya kuwa bingwa coz tutakuwa tumemalizana na timu ngumu na sumbufu(yanga+azam), na tutakuwa tumebakiza mechi 1 tu away dhidi ya kengold na kwa timu zitakazobakia hakuna wa kutusimamisha. Yanga atakuwa bado hajamalizana na azam,coastal na tabora timu ngumu na sumbufu.

Na yanga atakua na mechi nyingi ngumu away.
Mkuu mechi za away baada ya mechi na yanga, zitakuwa zimebakia mbili na siyo moja, kengold na jkt nafikiri
 
Mkuu mechi za away baada ya mechi na yanga, zitakuwa zimebakia mbili na siyo moja, kengold na jkt nafikiri
Jkt ni ndani ya daslam nazungumzia nje ya daslam japokuwa upo sahihi.
 
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa NUJUMU / TABIRI zangu kwa 95% huwa zinaenda vyema na kwa za hivi karibuni Mbili za Simba SC na Singida Fountain Gate FC na Simba SC na Azam FC zimeenda vile vile nikimaamisha kufanikiwa kwa 100%

Hivyo basi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nisiwachosheni sana na niwape huu UTABIRI / UNUJUMU wangu wa mwisho juu ya Klabu yetu ya Simba.

Ni kwamba kama Simba SC itashinda Mechi yake dhidi ya Yanga SC tarehe 8 Mwezi ujao (Machi) basi jueni Simba SC itaenda kuwa Bingwa Msimu huu wa 2024 / 2025 kwakuwa nimeona katika NUJUMU / TABIRI zangu kuwa kuna Mechi moja au mbili Yanga SC ataka Sare na akifanya masihara hata Kufungwa (na hii ni baada ya Kucheza na Simba SC)

Hivyo nimalizie tu kwa kusema kama kuna Kitu ambacho Uongozi wa Simba SC na wana Simba SC wote tunatakiwa Kukifanya ni kupanga sasa MIKAKATI YA KUFA MTU, ya KIVITA na hadi ya KUKUFURU ni jinsi gani TUTAMFUNGA Yanga SC hiyo tarehe 8 Mwezi Machi, 2025.

Tukitoka Sare / Suluhu na Yanga SC au Kufungwa nao tena basi wana Simba SC wote TUSIPOTEZE muda wetu KUJIGAMBA kuwa tutakuwa Mabingwa labda tutakuwa Mabingwa wa UMBUMBU ( UNGENDEMBWE) na UPUMBAVU (UPOPOMA)

Kama kuna Kiongozi yoyote wa Simba SC hapa JamiiForums na Mwandamizi pia au wale Watu wa Benchi la Ufundi tafadhali hakikisheni mnanifuatilia GENTAMYCINE hapa JamiiForums kwani kuna MAELEKEZO MAALUM (ya Kiufundi Uwanjani, ya Kiutamaduni / Kiuchawi na ya Kipropaganda) nitawapa kuelekea Mechi yetu dhidi ya Yanga SC na tafadhali NAWAONYENI mapema nawaomba MYAZINGATIE kwa 100% kama ambavyo nitawaelekezeni.

Kwa sasa tuacheni kuiwaza Mechi rahisi ya CAFCC dhidi ya Al Masri ya Misri na AKILI zetu zote tuzielekeze katika hii Mechi ambayo ni NGUMU na MUHIMU sana Kwetu Simba SC kama kweli tunautaka UBINGWA wa Msimu huu wa NBC Premier League.

Kati ya Ijumaa au mapema Jumamosi ya Wiki hii nitakuja na hayo MAELEKEZO MAALUM kwa Simba SC na narudia tena KUSISITIZA Kwenu kuwa MYAFUATE kama ambavyo nitawaelekezeni kwani Mimi ndiyo GENTAMYCINE na nina KARAMA nyingi NIMEKARIMIWA nae Mwenyezi Mungu hivyo mkinifuata na kunisikiliza mtafanikiwa.

Na kuanzia leo tusilaumiane na wala tusipoteze muda kujadili Mechi yetu ya jana na Azam FC kwani ni Matokeo ambayo NILIYATEGEMEA na KUYANUJUMU / KUYATABIRI mapema tu na kutokea vile vile nilivyosema.

Twendeni MSITUNI kuipangia Yanga SC mauwaji ya KISHALUBELA / KIKATILI hiyo tarehe 8 Mwezi Machi, 2025 kupitia Slogan yetu ya NGUVU MOJA na hii mpya ya UBAYA UBWELA na kamwe tusikate tamaa kwani bado Simba SC ina nafasi ya kuwa Bingwa Msimu huu endapo tu tutajipanga KIMIKAKATI na tuisimamie.

Nimemaliza.
Sasa unasema tuwekeze nguvu. Weka utabiri/unujumu wako sepa.
 
SAUTI inatoa VILAZA sana
Kumbe TANZANIA kuna Chuo Kikuu kiitwacho SAUTI? Nilikuwa sijui halafu kila Siku huwa nasema hapa JamiiForums kuwa ukijijua HUNA AKILI usipende sana Kuchangia kwani ni Kujidhalilisha tu hamsikii tu.
 
Back
Top Bottom