Leo Nan yupo zam ya kuchunga ng'ombe wa Mayele?

Leo Nan yupo zam ya kuchunga ng'ombe wa Mayele?

Yule ng'ombe wangepewa simba manara angeongea mwezi mzima mnakubali kupewa ng'ombe ana kideri yule mifupa inaonekana wale wamasai wajanja sana.
 
Uto hadi huruma. Mzee wa watu jana alikuwa anatembea na kinyesi cha ng'ombe kwenye paja la kushoto la suruali yake bila kujua.Mbaya zaidi Manara badala ya kumwambia yeye akawa anamchekelea tu
Inaskitisha kwa kweli mkuu
 
Yule ng'ombe wangepewa simba manara angeongea mwezi mzima mnakubali kupewa ng'ombe ana kideri yule mifupa inaonekana wale wamasai wajanja sana.
Aiseee
 
Yule ng'ombe wangepewa simba manara angeongea mwezi mzima mnakubali kupewa ng'ombe ana kideri yule mifupa inaonekana wale wamasai wajanja sana.
Haraf naskia Manara kagoma kuwekwa zam ya kuwachunga,maana yey ndo mwenye akil kuzd wote
 
Wana Yanga naomba mnifahamishe
Maana juz nlimuona mzee Nabi alikuwa zam na alikuwa anahangaika nao Sana,mzee wa watu had huruma jaman
Yanga mnateseka kwa kweli
Vip Leo Nan Yuko zam ili mzee Nabi nae apumue kidogo??
leo zamu ya ASEC MIMOSA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona mnajisahaulisha sana
FB_IMG_16477881560121996.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom