Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haraf naskia Manara kagoma kuwekwa zam ya kuwachunga,maana yey ndo mwenye akil kuzd woteYule ng'ombe wangepewa simba manara angeongea mwezi mzima mnakubali kupewa ng'ombe ana kideri yule mifupa inaonekana wale wamasai wajanja sana.
leo zamu ya ASEC MIMOSAWana Yanga naomba mnifahamishe
Maana juz nlimuona mzee Nabi alikuwa zam na alikuwa anahangaika nao Sana,mzee wa watu had huruma jaman
Yanga mnateseka kwa kweli
Vip Leo Nan Yuko zam ili mzee Nabi nae apumue kidogo??
Weeee!!
labda ndio ilikuwa ndio siku ya kwanza kuona timu ikifungwaWeeee!!
Naomba unikumbushe na matokeo ya jana hebu. 😀😀