Leo naolewa

Leo naolewa

Kweli Kali ya mwaka hii
Huyu Monicca naye jipu yaani siku ya 7 tu toka kufunga ndoa anasema hayo kweli, ila itakuwa anatutia ndimu hakuna cha ndoa wala nini mbona hata picha ziiiiii!!!
Alishasema Shem yuko humu JF akiona comment hiyo atajisikiaje jamani mmmmh makubwa.
 
Huyu Monicca naye jipu yaani siku ya 7 tu toka kufunga ndoa anasema hayo kweli, ila itakuwa anatutia ndimu hakuna cha ndoa wala nini mbona hata picha ziiiiii!!!
Alishasema Shem yuko humu JF akiona comment hiyo atajisikiaje jamani mmmmh makubwa.
Hapo mbuzi kwenye gunia mkuu
 
Hao wanaokuudhi mim wananikera wasamehe bure , weka kapicha basi ili tuongezee pongezi na baraka
 
Huyu Monicca naye jipu yaani siku ya 7 tu toka kufunga ndoa anasema hayo kweli, ila itakuwa anatutia ndimu hakuna cha ndoa wala nini mbona hata picha ziiiiii!!!
Alishasema Shem yuko humu JF akiona comment hiyo atajisikiaje jamani mmmmh makubwa.
Hakuna ndoa wala nchai
 
Back
Top Bottom