Leo naondoka kwa shemeji hata wanibembeleze vipi

umgonge dadaako?
 
Dada ako mwizi tu, anataka kodi ya meza iongezeke kwakuwa dogo lake upo hapo.
Dada ako mwizi tu. Anataka kodi ya meza asubuhi iongezeke kwakuwa dogo lake lipo hapo familia imeongeza mtu mzima mmoja.
 
HADITHI ZA KITOTO UNARUDIA RUDIA WENGI WAMESHA ANDIKA HII CHAI HUMU
 
umgonge dadaako?
Usipoweka mipaka ndugu yangu, hata mwanao unaweza ukamgonga, zinaa ni suala la hisia, zinakosa kuwa controlled utafanya lolote. K ni K na dushe linaingia kwenye K yoyote ile, haitambuliki hii ni ya nani endapo utakosa kujiwekea mipaka, hujawah sikia watu wanatembea na mama zao au ndugu zao wa damu?

Ndio maana mleta uzi yuko sahihi, bora aondoke, miguno yya demu wako haina tofauti na miguno ya dada yako au mwanao, dawa ni kujiweka mbali sana
 
Si upige nyeto ulale, yani shemeji yako asitafute watoto akuendekeze wewe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…