Wewe hata Roho inakusuta.Hakuna lolote awamu ya 5 ndiyo awamu inayo ongoza kwa ufisadi tangu tupate uhuru
Twambie chanzo cha kumfuta kazi CAG AssadWewe hata Roho inakusuta.
Ufisadi gani?
Ungenambia Walifanya Matumizi bila ya kufuata Miongozo ningekuelewa. Ila yote yalikwua na nia nzuri. Hakuna ufisadi.
Wakati wa Awamu ya nne ufisadi hadi watu wnapeleka pesa Uswiswi?
CAG alikuwa anapandisha mabega. Alikuwa na misimamo ya kibinafsi na sio ki professional.Twambie chanzo cha kumfuta kazi CAG Assad
Wacha ubishi wa kwenye vijiwe vya kahawa.CAG alikuwa anapandisha mabega. Alikuwa na misimamo ya kibinafsi na sio ki professional.
Anatembea Duniani kutusema na kutaka kutuchafua. Akiona nafasi haimfai angeachia ngazi.
CAG alikuwa anapandisha mabega. Alikuwa na misimamo ya kibinafsi na sio ki professional.
Anatembea Duniani kutusema na kutaka kutuchafua. Akiona nafasi haimfai angeachia ngazi.
Vipi miradi iliyokuwa chini ya ofisi ya makamu wa rais itachinguzwa ?Mjinga ni wewe unayetetea maovu ya mwendazake na kwa taarifa tu ni kwamba tayari taratibu zimeanza kuandaliwa ili tume ianze kuchunguza mikopo yote aliyo ichukua na value for money kwenye miradi.
Wenzake kina Januari na Membe hawakuomba msamaha walikaa kimya. Yeye kwa kujipendekeza akaenda ikulu kuomba msamahaNape ilimbidi tu aombe "msamaha" kwa shingo upande ili kunusuru maisha yake kwenye utawala wa kidikteta.
Nnape is disaster to the country's development health; he has never been a honest person since his toddler age to date.Kwani ubaya wa Nape kutaka uchunguzi wa hiyo mikopo na matumizi yake upo wapi?
Kwanini asihoji matumizi na thamani ya miradi iliyofanyika?
Wacheni huo unafiki wenu kisa legacy,hakuna legacy ya kulazimisha hapa duniani.
Hiyo 1.5 trn Assad alishaeleza.Wacha ubishi wa kwenye vijiwe vya kahawa.
Mlikwiba 1.5trillion hadi leo haijulikani ipo wapi na hapo hapo mnamshambulia mh Nape kuhoji fedha za umma.
Hiyo 1.5 trn Assad alishaeleza.
Sio kwamba haijulikani iko wapi. Haikuambatanishwa ipasavyo.
Ninacho kiona kwenye post yako ni muendelezo wa kulazimisha Magu asihojiwe kwa aliyo yafanya.Nnape is disaster to the country's development health; he has never been a honest person since his toddler age to date.
Alitakiwa afiche ujinga wake kwa kutaka mikataba, mikopo na misaada yote iliyowahi kupokelewa na Tanzania tangu ipate uhuru yaani awamu ya kwanza ya Nterere, awamu ya pili ya Mwinyi, awamu ya tatu ya Mkpa, awamu nne ya Kikwete, awamu ya tano ya Magufuli na awamu ya sita ya Suluhu kisha watathimini matokeo chanya na ulinganifu wa thamani.
Lakini kwa kuwa alikuwa na chuki zilizopitiliza dhidi ya Magufuli wa awamu ya tano ndio maana amelenga hapo pekee kwa sababu binafsi.
Alichokifanya Magufuli ni sawa na nguvu za misaada, mikopo na mapato yote ya awamu ya kwanza hadi ya nne na amefanya zaidi ya kiwango hicho na kila mtu ameona na alishuhudia kuliko mbwembwe za sasa za maneno matupu yakiambatana na vitisho, ulaghai, rushwa, wizi na uharifu uliokubuhu.
*Be very careful, cautious, vigilant and defensive when you talk to a person folding hands in pretext of meek body language poses as a silent killer without suspicion, therefore thrive to get rid of him/her before you are devoured.
The barking foxes are in the street hunting for the prey..........................
Wacha kutudanganya wewe chawa wa magu.hizo pesa hakungoja wabunge aliona atachelewa kufanya miradi 1.5 trn akaamua kununua ndege air tanzania 11. jpm kafariki akiwa maskini watoto wake hawana kitu mkewe hana kitu sio kama ridhiwani tajiri mama mkapa majumba kila sehemu
Daima msumeno ukata sehemu zoote hakuna cha kubakia hapoVipi miradi iliyokuwa chini ya ofisi ya makamu wa rais itachinguzwa ?
Kwanini haikuambatanishwa? Huo ni upigaji ambao upo wazi.Hiyo 1.5 trn Assad alishaeleza.
Sio kwamba haijulikani iko wapi. Haikuambatanishwa ipasavyo.
Unalazimishia.Kwanini haikuambatanishwa? Huo ni upigaji ambao upo wazi.
Awamu ya 5 ilikuwa ni kinara wa ufisadi
Hakuna cha kulazimisha huo ndo ukweliUnalazimishia.
Unataka kusema kuwa hawa MAKATIBU WA CCM wilaya na mikoa walioteuliwa juzi wamechukuliwa kutoka upinzani?!!! Khaaaa 😳😳Kama ni kuishiwa watu smart basi ni ccm ndiyo wamebakia na makapi tupu ndiyo maana hata viongozi wanalazimika kuwateua wapinzani ili kwenda kuokoa jahazi.