Nnape is disaster to the country's development health; he has never been a honest person since his toddler age to date.
Alitakiwa afiche ujinga wake kwa kutaka mikataba, mikopo na misaada yote iliyowahi kupokelewa na Tanzania tangu ipate uhuru yaani awamu ya kwanza ya Nterere, awamu ya pili ya Mwinyi, awamu ya tatu ya Mkpa, awamu nne ya Kikwete, awamu ya tano ya Magufuli na awamu ya sita ya Suluhu kisha watathimini matokeo chanya na ulinganifu wa thamani.
Lakini kwa kuwa alikuwa na chuki zilizopitiliza dhidi ya Magufuli wa awamu ya tano ndio maana amelenga hapo pekee kwa sababu binafsi.
Alichokifanya Magufuli ni sawa na nguvu za misaada, mikopo na mapato yote ya awamu ya kwanza hadi ya nne na amefanya zaidi ya kiwango hicho na kila mtu ameona na alishuhudia kuliko mbwembwe za sasa za maneno matupu yakiambatana na vitisho, ulaghai, rushwa, wizi na uharifu uliokubuhu.
*Be very careful, cautious, vigilant and defensive when you talk to a person folding hands in pretext of meek body language poses as a silent killer without suspicion, therefore thrive to get rid of him/her before you are devoured.
The barking foxes are in the street hunting for the prey..........................