Leo napewa connection ya kutoboa maisha

Kumbe ni rahisi ivyo kwanini hukusema siku zote hizo wewe farao πŸ˜„!!
nimehangaika na waganga mpk huko Kivu
 
huyo mzee yeye hana magari na utajiri huo, ila wewe unaenda ili akupatie utajiri. akili au matope hayo? au wewe ni mganga wa kienyeji unatafuta mtu wa kula kichwa?
 
Subiri kwanza, ebu toa location vizuri ya mzee sio lazima turundikane inbox bhana
 
kuna jamaa angu kauza duka lake na vitu kibao vya ndani kwaajili ya hayo mambo na bado kaambulia patupu, kaamua kumrudia Mungu tu
Uyo kakutana na mapeli wa buguruni...Hakuna mganga uende kufuata mali za mashariti akudai fedha kabla hujafanikiwa...wengi wanaochukua mali za mashariti ni kwakua wamejikatia tamaa na hata Kula yao ni changamoto,hawana msaada hivo wanaona hawana Cha kupoteza
 
mwenzake kafanikiwa hilo jambo yeye kasacrifice vitu vyake lakini kafeli, ni hao wazee wa Tunduma wakutengeneza elfu tano au 10 kua jini lapesa
 
Ndugu zangu...tatizo la afya ya akili......
Tupo chit chat and jokes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…