Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Nyimbo inaitwa SISIKII ila sio ile yenyewe.
Hii kuna na sauti ya mdada, yaani Jux mwenyewe anaimba alafu na mdada anaimba pia nyimbo ni ileile ya Jux sisikii.
Sijui ndio mnasemaga cover sijui ndio remix sijui ndio karoekore misijui tena.
Hii kuna na sauti ya mdada, yaani Jux mwenyewe anaimba alafu na mdada anaimba pia nyimbo ni ileile ya Jux sisikii.
Sijui ndio mnasemaga cover sijui ndio remix sijui ndio karoekore misijui tena.