Naona hapendi Manzese.Pole Pako!!! Get well soon!!!
Soul braza mbona hasemi kama ameukubali mji wa manzese au hataki....tunataka jibu
Nakupa mji: Manzese
Haya tupe jibu.
hehehe!unajua sool bradha kitendawili chako hakipo klia
Manzese mji??? wewe hebu rudi shuleni
wana jamii
Naona hapendi Manzese.
Ngoja nimpe mwingine: Kambi ya Fisi.
Na wewe mpe mji Mamushka.
achana na kambi ya fisi kuna mifupa huko....
Mara Urusi, kambi za fisi...miji imewashinda na kitendawili pia kimewashinda...
Sio kambi ya fisi ni Uwanja wa fisi pale kila kitu unapata.
Naona leo umenikaushia kabisa.
dar kina uwanja wa fisi
kwetu a town tuna kambi ya fisi, upo hapo???
dar kina uwanja wa fisi
kwetu a town tuna kambi ya fisi, upo hapo???
Siwaoni, siwasikii, siwafahamu ila tuko beneti???
He!Duh hapo kasheshe sasa lakini naona leo umenitenga kabisaaa hane
He!
TUENDELEE TUONE MWISHO WAKE!
upi??? hapo ndo napotaka msaada wako kwa malipo ya valuu!!!