Kuna muda utaanza kutaja mwaka utaishia kutaja tarehe...!Wakuu habar za jion Mimi ni kijana jinsia ME, Leo saa 6:01 usiku natimiza umri Wa miaka ishirin na saba (27) Namshukuru mungu mungu , wazaz , ndgu na rafiki.
Hivyo napenda tujuzane ni vitu gani muhim nilipaswa kufanya au
Napaswa kufanya katika umri huu ambao Mimi naona nimekuwa MTU mzima.
Ahsanteeni mawazo yenu ni muhimu sna kwangu karbuni.
Sema kipindi hiki sio kizuri, mtu ana weza kufikiri umetimiza miaka 27 ya ushWakuu habar za jion Mimi ni kijana jinsia ME, Leo saa 6:01 usiku natimiza umri Wa miaka ishirin na saba (27) Namshukuru mungu mungu , wazaz , ndgu na rafiki.
Hivyo napenda tujuzane ni vitu gani muhim nilipaswa kufanya au
Napaswa kufanya katika umri huu ambao Mimi naona nimekuwa MTU mzima.
Ahsanteeni mawazo yenu ni muhimu sna kwangu karbuni.
Shukran Mkuu kwa ushaur mzuri, tofaut na watanzania walio shaur apo juuNakujibia kwa 27 birth day.
Kama ndivyo hakikiasha unamazingira mazur yatakakusadia kupata wife material Kama bado..Kama tayari uswali Sana. Ni umri wa kumuomba Mungu....
Kama unapiga bia 2 ,3 hakikisha huzidishi. Ulevi acha. Umalaya acha, wanga acha, ushamba acha kwa sababu unakiwa mtu mzima na focus yako inatakiwa iwnyooke.
Kaa mbali na Siasa. Jenga uchumi wako na familiar. Usisahau kushiriki Mambo ya kijamii. Tengemeza network yako...marafiki wenye focus ya maendeleo
Jaribu kuwa serious, watu wanajua miandiko, ukiwa unajaribu kudanganya watu wanavipaji humu.Shukran Mkuu kwa ushaur mzuri, tofaut na watanzania walio shaur apo juu