bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
Kuna muda utaanza kutaja mwaka utaishia kutaja tarehe...!Wakuu habar za jion Mimi ni kijana jinsia ME, Leo saa 6:01 usiku natimiza umri Wa miaka ishirin na saba (27) Namshukuru mungu mungu , wazaz , ndgu na rafiki.
Hivyo napenda tujuzane ni vitu gani muhim nilipaswa kufanya au
Napaswa kufanya katika umri huu ambao Mimi naona nimekuwa MTU mzima.
Ahsanteeni mawazo yenu ni muhimu sna kwangu karbuni.
Jitafakari unamiliki nini??