Leo natimiza miaka 27

Leo natimiza miaka 27

Wakuu habar za jion Mimi ni kijana jinsia ME, Leo saa 6:01 usiku natimiza umri Wa miaka ishirin na saba (27) Namshukuru mungu mungu , wazaz , ndgu na rafiki.

Hivyo napenda tujuzane ni vitu gani muhim nilipaswa kufanya au
Napaswa kufanya katika umri huu ambao Mimi naona nimekuwa MTU mzima.

Ahsanteeni mawazo yenu ni muhimu sna kwangu karbuni.
Kuna muda utaanza kutaja mwaka utaishia kutaja tarehe...!

Jitafakari unamiliki nini??
 
Wakuu habar za jion Mimi ni kijana jinsia ME, Leo saa 6:01 usiku natimiza umri Wa miaka ishirin na saba (27) Namshukuru mungu mungu , wazaz , ndgu na rafiki.

Hivyo napenda tujuzane ni vitu gani muhim nilipaswa kufanya au
Napaswa kufanya katika umri huu ambao Mimi naona nimekuwa MTU mzima.

Ahsanteeni mawazo yenu ni muhimu sna kwangu karbuni.
Sema kipindi hiki sio kizuri, mtu ana weza kufikiri umetimiza miaka 27 ya ush
 
Nakujibia kwa 27 birth day.
Kama ndivyo hakikiasha unamazingira mazur yatakakusadia kupata wife material Kama bado..Kama tayari uswali Sana. Ni umri wa kumuomba Mungu....

Kama unapiga bia 2 ,3 hakikisha huzidishi. Ulevi acha. Umalaya acha, wanga acha, ushamba acha kwa sababu unakiwa mtu mzima na focus yako inatakiwa iwnyooke.

Kaa mbali na Siasa. Jenga uchumi wako na familiar. Usisahau kushiriki Mambo ya kijamii. Tengemeza network yako...marafiki wenye focus ya maendeleo
 
Nakujibia kwa 27 birth day.
Kama ndivyo hakikiasha unamazingira mazur yatakakusadia kupata wife material Kama bado..Kama tayari uswali Sana. Ni umri wa kumuomba Mungu....

Kama unapiga bia 2 ,3 hakikisha huzidishi. Ulevi acha. Umalaya acha, wanga acha, ushamba acha kwa sababu unakiwa mtu mzima na focus yako inatakiwa iwnyooke.

Kaa mbali na Siasa. Jenga uchumi wako na familiar. Usisahau kushiriki Mambo ya kijamii. Tengemeza network yako...marafiki wenye focus ya maendeleo
Shukran Mkuu kwa ushaur mzuri, tofaut na watanzania walio shaur apo juu
 
Shukran Mkuu kwa ushaur mzuri, tofaut na watanzania walio shaur apo juu
Jaribu kuwa serious, watu wanajua miandiko, ukiwa unajaribu kudanganya watu wanavipaji humu.

Cha msingi ni wewe umeleta uzi ukikusudia nini, nimeamua kukupa unachistahili, sometime unastahili majibu yote.
 
Back
Top Bottom