Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

1.) Hilo swali la kwanza nimeshalijibu, soma jibu langu kwenye post ya juu, au hujaisoma?

2.) Unaweza ukaiita dini mpya au chochote unachopenda, ila ni ‘taarifa mpya kwako’, ipokee au ikatae kwa hoja.

3.) Interpretation yangu kutokuwa sahihi inabidi ukudhihirishe kwa hoja, sio useme tu nafanya misinterpretation bila hoja yeyote, yaani kisa tu umesema basi itoshe? Toa hoja

4.) How do i prove ‘Conscious energy’? Hii nimeshajibu kwenye post yangu juu kuhusu ‘Delayed choice quantum eraser’ , au hujaisoma?

5.)
1. Hakuna ulipojibu kama hiyo "Pure Conscious Energy" ina upendo wote. Kama unasema pako, nukuu hapa.

2. Hakuna taarifa mpya hapa. Nimemsoma Philip Goff akielezea mambo haya siku nyingi. Katafute kitabu chake "Why? The Purpose of The Universe" na "Galileo's Error". Hata wewe unaweza kujifunza mengi zaidi kuhusu haya mambo unayoyasema, yakiwa yameandikwa kitaalamu zaidi. So, hakuna kipya ulichoniambia hapa.

3. Umezipa photons agency na consciousness bila proof, bila hata ku define consciousness ni nini na tunaipimaje. Pia hujavuka threshold ya correlation na causation. Yani wewe unaweza kuona gari ikiwasha indicator ya kushoto inakata kona kwenda kushoto, ukaona gari ikiwasha indicator kulia, gari inakata kona kwenda kulia, uka conclude kwamba ile taa ya indicator ndiyo inasababisha gari liende kulia au kushoto, si unaona ikiwaka kulia gari linakata kona kulia, ikiwaka kushoto gari linakata kona kushoto?

4. Soma 3 hapo juu. Huja demonstate consciousness na agency. Hujaonesha umevukaje matatizo ya correlation/causation.

Mpaka sasa hujaweza hata ku define consciousness tu, achilia mbali ku prove uwepo wa "Pure Conscious Energy".

Frankly speaking, "Pure Conscious Energy" sounds like one of those scandalous religious Hare Krishna cults they start in California every few years.
 
Mkuu, tangu umeanza kiandika hapo juu kwenye hii comment nilikufuatilia kwa makini sana, ila ulipokuja hapo, ukarudi palepale ambapo mimeshasema wachangiaji wanatoa shutuma kishabiki kwa hisia bila ya reference.
Umeamua kuchagia mapendekezo ya wakatoliki kama ulivyoyaita. Umesehau kuwa hata Biblia unayoisoma ni mapendekezo yao.
Bado nasoma comments za watu. Nikimpata ambaye nitaona hakika yupo logical, japo nami nitafungua kabati la vitabu.
Otherwise nitaendelea kufuatilia watu wanavyo ventilate.
Unaona tabu gani kuleta reference ya watoto 6 wa Yusufu kabla ya kumuoa Maria? Kama una fact na reference kwa nini usubiri mpaka mtu ajibu kulingana na mawazo yako?

Ni kweli kwamba Mariamu alikuwa bikira wakati malaika Gabrieli alipomtokea kutangaza kwamba Mungu alikuwa amemchagua kuwa mama wa Masihi (Luka 1:34–35). Na Biblia iko wazi kwamba alikuwa bado bikira alipomzaa Yesu (Mathayo 1:25). Lakini Yusufu alikuwa amemchukua Mariamu kuwa mke wake (Mathayo 1:20), na hakuna pendekezo kwamba jukumu lake kama mke wa Yusufu lilikuwa tofauti kwa njia yoyote na jukumu la mke mwingine yeyote. Mathayo 1:25 inasema, “Lakini hakuimaliza ndoa yao hata alipojifungua mtoto wa kiume” .

Neno mpaka linazungumza juu ya mabadiliko ya kitendo cha kwanza. Maana yake ni kwamba utimilifu wa ndoa ulitokea baada ya kuzaliwa kwa mwana wa Mariamu. Maana ni sawa na ile ya sentensi hii: "cotterpin hakuweza kuchukua hazina yake ya ulithi hadi alipokuwa na umri wa miaka 25." Mpaka ina maana kulikuwa na wakati ambapo hatua ya kwanza (kutokuwa na ufikiaji) ilibadilika na kuwa kitu kingine (ufikiaji). Muundo wa Mathayo 1:25 unaonyesha wazi kwamba ukamilisho ulitokea baada ya kuzaliwa.

Ikiwa watoto wengine walikuwapo kabla ya ndoa ya Yusufu na Mariamu, kuna uwezekano wangetajwa katika mojawapo ya masimulizi ya injili ya kuzaliwa kwa Kristo, hasa maelezo ya kina ya Luka ya safari ya Bethlehemu ( Luka 2:1–20 ). na ripoti ya Mathayo ya kukimbilia Misri iliyofuata ( Mathayo 2:13–15 ).

Katika mstari wa 13 Mathayo anarekodi malaika akimwambia Yusufu, “Simama, . . . mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaa huko mpaka nikuambie, kwa maana Herode anataka kumtafuta mtoto ili amwue. Yusufu anapaswa kuchukua watu wawili, Mariamu na Yesu, sio kizazi chake kutoka kwa ndoa ya awali.

Je watoto wake hao 6 walikuwa wapi? Au baada ya kumuoa mariam aliwafukuza?

Kisha katika Mathayo 1:20–21 , malaika anamwambia Yosefu tena, “‘Ondoka, umchukue mtoto na mama yake uende mpaka nchi ya Israeli, kwa maana wale waliokuwa wakijaribu kumuua mtoto wamekufa. akainuka, akamchukua mtoto na mama yake, akaenda mpaka nchi ya Israeli.” Tena, ni Mariamu na Mtoto wale Yesu Kristo pekee wanaotajwa. Hakuna watoto wakubwa zaidi, jambo ambalo linadokeza kwamba ndugu na dada za Yesu waliofuata walikuwa wachanga zaidi na walikuja wakiwa tokeo la asili la mahusiano ya kawaida ya ndoa ya Mariamu na Yosefu.

Mara nyingi inashawishi kujaribu kufanya Maandiko kusema kitu ambayo hayasemi ili kuunda theolojia tunayopenda. Lakini tunapaswa kukumbuka kanuni ya msingi ya ufasiri wa maandiko: “Wakati wowote inapowezekana, acha Maandiko yajieleze yenyewe .” Tunaingia katika matatizo tunapojaribu kufanya Neno la Mungu lilingane na mawazo yetu tuliyoazimia au fundisho ambalo tunapata faraja. Wazo la ndoa ya awali ya Yosefu na wazo kama hilo halina msingi katika Neno la Mungu.

Jitahidi kusoma history za madhehebu na sababu za ku exist, ukijashua hayo, soma na hizo articles mbali mbali ambazo ni mawazo ya watu vile waonavyo wao then soma vitabu rasmi vya dhehebu husika, lastly njenga hoja zako sasa.

Adios amigos
 
Unaona tabu gani kuleta reference ya watoto 6 wa Yusufu kabla ya kumuoa Maria? Kama una fact na reference kwa nini usubiri mpaka mtu ajibu kulingana na mawazo yako?

Ni kweli kwamba Mariamu alikuwa bikira wakati malaika Gabrieli alipomtokea kutangaza kwamba Mungu alikuwa amemchagua kuwa mama wa Masihi (Luka 1:34–35). Na Biblia iko wazi kwamba alikuwa bado bikira alipomzaa Yesu (Mathayo 1:25). Lakini Yusufu alikuwa amemchukua Mariamu kuwa mke wake (Mathayo 1:20), na hakuna pendekezo kwamba jukumu lake kama mke wa Yusufu lilikuwa tofauti kwa njia yoyote na jukumu la mke mwingine yeyote. Mathayo 1:25 inasema, “Lakini hakuimaliza ndoa yao hata alipojifungua mtoto wa kiume” .

Neno mpaka linazungumza juu ya mabadiliko ya kitendo cha kwanza. Maana yake ni kwamba utimilifu wa ndoa ulitokea baada ya kuzaliwa kwa mwana wa Mariamu. Maana ni sawa na ile ya sentensi hii: "cotterpin hakuweza kuchukua hazina yake ya ulithi hadi alipokuwa na umri wa miaka 25." Mpaka ina maana kulikuwa na wakati ambapo hatua ya kwanza (kutokuwa na ufikiaji) ilibadilika na kuwa kitu kingine (ufikiaji). Muundo wa Mathayo 1:25 unaonyesha wazi kwamba ukamilisho ulitokea baada ya kuzaliwa.

Ikiwa watoto wengine walikuwapo kabla ya ndoa ya Yusufu na Mariamu, kuna uwezekano wangetajwa katika mojawapo ya masimulizi ya injili ya kuzaliwa kwa Kristo, hasa maelezo ya kina ya Luka ya safari ya Bethlehemu ( Luka 2:1–20 ). na ripoti ya Mathayo ya kukimbilia Misri iliyofuata ( Mathayo 2:13–15 ).

Katika mstari wa 13 Mathayo anarekodi malaika akimwambia Yusufu, “Simama, . . . mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaa huko mpaka nikuambie, kwa maana Herode anataka kumtafuta mtoto ili amwue. Yusufu anapaswa kuchukua watu wawili, Mariamu na Yesu, sio kizazi chake kutoka kwa ndoa ya awali.

Je watoto wake hao 6 walikuwa wapi? Au baada ya kumuoa mariam aliwafukuza?

Kisha katika Mathayo 1:20–21 , malaika anamwambia Yosefu tena, “‘Ondoka, umchukue mtoto na mama yake uende mpaka nchi ya Israeli, kwa maana wale waliokuwa wakijaribu kumuua mtoto wamekufa. akainuka, akamchukua mtoto na mama yake, akaenda mpaka nchi ya Israeli.” Tena, ni Mariamu na Mtoto wale Yesu Kristo pekee wanaotajwa. Hakuna watoto wakubwa zaidi, jambo ambalo lingedokeza kwamba ndugu na dada za Yesu waliofuata walikuwa wachanga zaidi na walikuja wakiwa tokeo la asili la mahusiano ya kawaida ya ndoa ya Mariamu na Yosefu.

Mara nyingi inashawishi kujaribu kufanya Maandiko kusema kitu ambayo hayasemi ili kuunda theolojia tunayopenda. Lakini tunapaswa kukumbuka kanuni ya msingi ya ufasiri wa maandiko: “Wakati wowote inapowezekana, acha Maandiko yajieleze yenyewe .” Tunaingia katika matatizo tunapojaribu kufanya Neno la Mungu lilingane na mawazo yetu tuliyoazimia au fundisho ambalo tunapata faraja. Wazo la ndoa ya awali ya Yosefu na wazo kama hilo halina msingi katika Neno la Mungu.

Adios amigos
Mkuu, mimi humu huwa nipo hivi, naheshimu sana Logics. Nikajifunza kwamba, watu wanaotembea na hisia ni kuwaheshimu na kwenda nao vilevile kwa hisia.
Nilishajifunza kutotumia Logic pale uonapo watu hawana muda na logic. Ukifanya hivyo maisha ya JF, kitaa, na business place yanakuwa mazuri sana na mepesi.
 
Umeelewa ninachomaanisha usihamishe magoli mkuu. Sijasema kupimwa nimesema kuonyesha huu ni upepo, means uushike. Badala yake utaona mtokea yake au nguvu zake.

Kujua Speed na direction ya upepo haina maana unauona upepo wenyewe.
Mkuu Kwani hujui kuwa Tunaweza kuhisi upepo kwa kutumia Milango ya Fahamu?
Na sio matokeo ya Upepo kama unavyosema?
 
Umeelewa ninachomaanisha usihamishe magoli mkuu. Sijasema kupimwa nimesema kuonyesha huu ni upepo, means uushike. Badala yake utaona mtokea yake au nguvu zake.

Kujua Speed na direction ya upepo haina maana unauona upepo wenyewe.
Mkuu Upepo unaweza kutambulika kutumia Milango yetu ya Fahamu..
NA sio lazma upimwe..

Milango ya Fahamu sio kuona tu,Kuna kunusa ,Kusikia na hata ladha..
Sijui kama unanielewa mkuu?
 
Extra biblical resources zinadai hao walikuwa watoto wa mke Mkubwa wa Bwana Joseph.

nenda Google uwape huu mstari "joseph the carpenter first wife".

Bible
inasema uliowataja walikuwa ni wadogo zake Emmanuel.

Swali hili kuna mwamba amelijibu kwa umakini...mfuate hapa

Bila shaka utata utakoma!
Hii theology unayonipa naifahamu na hakuna ExtraBiblical Sources zinavyodai hivyo kama utaweza naomba unionyeshe..

Ni Roman catholic Theology Ndo hudai hivyo..
Kuna kitu kwenye Roman catholic na easterm Orthodox theology Huita "Theotokos"
Yaani mama wa Mungu..

Na humo ndo kumejaa unachojaribu kusema..
Huyo aliyejibu amejibu in Roman Catholic persepective..

Halafu kingine Kamsome tena vizuri anasema vizuri sana kuwa kama walikuwa watoto wa Mke mkubwa basi yusuf angeenda nao Misri maana angekuwa nao..I think hata informants wako hujamuelewa hebu kamsome tena 😀..

Mkuu kaa chini kwa Utaratibu soma Vizuri hao watu Nenda angalia umri wa Jacob, Angalia umri wa Andrea halafu njoo niambie..

makadirio ya umri wa Andrea na Jacob ni wadogo kuliko makadrio ya Umri wa Yesu..
Swali liko pale pale kama walikuwa ni watoto wa Mke mkubwa aliyefariki ilikuwaje wakawa na umri mdogo kuliko Umri wa Yesu?

Kuna wapo wana Theorise kuwa Wale ni Watoto wa Zebedayo kaka yake na Mariam na mkewe mariam au Salome..Bora kidogo hao wana make sense japo bado hakuna uhalisia
 
Mpaka sasa swali hujajibu nafikiri hujasoma vzuri.
Tunataka kusikia kauli ya baba regardless mtoto atafanya kinyume.

Upo tayari au haupo tayari?
Huyo mwanaume hayupo, mm mekfatilia mkuu na mekuelewa point yako hat huy jamaa kaelewa sema kajitoa ufaham tu🤣🤣
 
Mimi reference ninazo nyingi sana mkuu. Je, wewe unaweza ukatoa angalau reference imayoonyesha hao watoto walikuwa na wa Yusuf na Mariam.
Mimi huwa nachangia kulingana na hoja, ingehitaji reference zilizonifunza nasi ningeingia kabatini kuzileta hapa. Kwa kuwa maongezi, shutuma na malalamiko ya hapa havina references nali uelewa aliouchagua mu, na mimi ni sehemu ya watu so nimekuja vivyo hivyo.
Ziweke kuhanikiza hoja uliyoiweka hapa.
 
Back
Top Bottom