dickson gosbert
New Member
- May 25, 2015
- 3
- 11
Kama umeajiliwa au umejiajiri fanya haya
Tunza asilimia kadhaa za mshahara wako. Cut off chai ya asubuh kwa mama ntilie. Jion wai nyumbani upike
Pesa hapo utaweza tunza then jifunze biashara yyte iliyopo kwenye mazingira yanayokuzunguka au biashara ya Boss wako apo anza taratbu the same business at small scale. Baada ya miezi sita rudi hapa unishukulu
Nb: hakuna mafanikio yatakayopatikana kwa kufanya kazi kwa mazoea na uzembe
Tunza asilimia kadhaa za mshahara wako. Cut off chai ya asubuh kwa mama ntilie. Jion wai nyumbani upike
Pesa hapo utaweza tunza then jifunze biashara yyte iliyopo kwenye mazingira yanayokuzunguka au biashara ya Boss wako apo anza taratbu the same business at small scale. Baada ya miezi sita rudi hapa unishukulu
Nb: hakuna mafanikio yatakayopatikana kwa kufanya kazi kwa mazoea na uzembe