Bila shuka
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 596
- 294
Nini jamani? Huniamini?
povu lanini mkuu!!?, au we ndo muhusika nini??Wewe unatafuta kick! Kwanini usimtafute private huyo mchumbaako wa JF ukamchaaaamba tani yako...unakuja kutengeneza stori na wala jina hutaji,kwendraaaaa na wala usirudi
hulaliiiii?Nini jamani? Huniamini?
We labda uwe mgeni humu mbona ungeshambwato muda tu shukuru mabazazi wamestaafu na si wengine tumeachana mambo hzo..Hivi kumbe ni kweli kuwa unaweza kukutana na mtu type yako jf mpakaa akumbato? Dah uwa siamini kama mtu jf anaweza anivutie kiasi hicho mpaka anione kyupi? Loh. Mtu wa jf he can be just a friend but not a lover loh.
Nimebaki kushangaa kumbe hatu mnaenda beyond? Au ndo maana id mpya zinaongezeka mtu animbato afu niendelee kuwa luckyline? Neverrrrrr! Ushmen umetoa mpyaaaaa!
Nasubiri wewe ulale kwanzahulaliiiii?
umedanganya mkuu...chunguza ni wapi umedanganya na uuseme ukweli..jifunze kutokuexagerateHahaahaaaa....
Naomba nikujibu kadri nitakavyo weza.
-X ni masters holder na anajob yake poa na mjengo wake wa haja.
-Mimi nina degree holder na nina maisha ya kawaida.
-NG ni PhD holder na anamaisha yake poa.
Mmoja nilikutana nae kwenye ndege, mwingine nilikutana nae kanisani.
Wote tuna umri wa 30 to 35.
Bila shaka nimejaribu mkuu[emoji39]
Wanawake hawa?Kumbe huyo mumeo alikua amesha ujua mchezo ulio mfanyia, kwa maelezo alio nieleza nikwamba wewe ulimdanganya kwamba mimi ni Rafiki wako kikawaida tu, tena akaniambia kwamba umempa na sim ambayo mimi nilikupa wewe, na kumbe ulisahau kufuta conversation zangu mimi na wewe hapo ndipo alipo anza kuisoma picha nzima.
Nakumbuka kipindi kile mama alinipigia sim kwamba amepigiwa sim na mwanaume alie jitambulisha kwamba ni mumeo na mimi ninamchukulia mkewe, tena jamaa alienda mbali na huku akimwambia mamaangu kwamba ataniua, sikuhiyo mamaangu alifadhaika sana na alinipigia sim kuniuliza mambo yale yalivyo.Then niliamua kudanganya mama kwamba huyo ni mtu mwenye wivu wa kimapenzi tu, na hiyo nilifanya ili nimpoze mamaangu kwa kuogopa presha isije ikapanda na tuka taabika sisi wanawe.
Anyway.....
Hili jambo nilikaa nalo moyoni kwa muda na tayari upendo wangu kwako ulitoweka na nilianza kusubiri tu muda ufike nikuje Tz ili tumalize jambo lile, hivyo nikaamua kuvumilia.
Nilipo rejea Tz, tulizungumza na ulijitetea sana huku ukilia machozi kwamba nikusamehe kwakua jamaa alikurubuni na huku ukisingizia kwamba ulipitiwa na shetani pia kishawishi.
Nilikuomba tuzungumze na huyo mumeo ili tuweke mambo sawa ili kila mmoja akue na amani na maisha yaendelee, ukweli niliumizwa sana na tukio lile na nilikujibu kwamba sikupendi tena na sina hisia na wewe tena, nilikusisitiza kwamba wale watoto wako wawili wanao soma na wakwangu nitaendelea kuwalipia ada kama kawaida na nitawapa mahitaji kama pale mwanzo.
Hii picha ilikua haijifuti akilini mwangu hasa pale ulipokua umechanuliwa miguu.
Hatimae nilirejea hukooo duniani kuendelea na kibarua kama kawaida.
Baada ya muda kiasi kupita niliamua kuanzisha mahusiano na mdada mwingine hapa jf huku tukiwa kwenye mazungumzo na kweli nilimueleza kwamba nilikua na wewe ingawa ndio tulikua kwenye harakati za kamba kukatika.
Bidada aliridhia na nilibakiza zoezi la kukuacha rasmi.
Nikiwa kwenye harakati za kukuacha ghafla skumoja uliniambia habari kwamba mumeo yule wa kwanza ulie zaa nae amemuagiza mwanao akuje kwako kipindi cha likizo, hapo nakumbuka wanangu pamoja na wanao wote walikua likizo na wote ulikua nao hapo jijini.
Then nikasema poa hakuna shaka kwakua baba wa huyo mwanao wa kwanza amemuagiza mtoto sikuona tatizo, lakini nilipata wazo la kuku track down ili niweze ziona calls, MMS na SMS zote zinazo ingia kwako.
Hapo ndipo tena nilipo ona maajabu....
kumbe huyo mumeo wa kwanza alikuja hapo jijini, na wewe ndie ulie lipia hotel kwakua alikuambia hana pesa, na pia ukalala nae pale hotel kisha kesho ukarudi na mwanao kule ulipo kua ukiishi.
Aiseeee.....
Ingawa nilikua nimekueleza kwamba sina mapenzi na wewe na sijutaki tena, ila niliumia sana kwamba natoa pesa mimi alafu wanaume wengine ndio huzitumia...!!
mmmmm...manake nakuangalia umegeukia upande huo...kumbe uko bize na uzi huuNasubiri wewe ulale kwanza
Nakuzimia kinoma noma ww hujui tuHivi kumbe ni kweli kuwa unaweza kukutana na mtu type yako jf mpakaa akumbato? Dah uwa siamini kama mtu jf anaweza anivutie kiasi hicho mpaka anione kyupi? Loh. Mtu wa jf he can be just a friend but not a lover loh.
Nimebaki kushangaa kumbe hatu mnaenda beyond? Au ndo maana id mpya zinaongezeka mtu animbato afu niendelee kuwa luckyline? Neverrrrrr! Ushmen umetoa mpyaaaaa!
sasa pressure ikimshika akafa gafra? Kuwa na huruma basi! Ingawa poleee maana mhhh!Sina haja ya kick aiseeee.....
Zaidi kuna muhanga ambae unaumizwa na hili lisinema
hujawahi kutmbwa ? hata jf wapo binadamu wanaoweza kutmba vilevilesasa pressure ikimshika akafa gafra? Kuwa na huruma basi! Ingawa poleee maana mhhh!
Naomba uwe rafiki yanguHivi kumbe ni kweli kuwa unaweza kukutana na mtu type yako jf mpakaa akumbato? Dah uwa siamini kama mtu jf anaweza anivutie kiasi hicho mpaka anione kyupi? Loh. Mtu wa jf he can be just a friend but not a lover loh.
Nimebaki kushangaa kumbe hatu mnaenda beyond? Au ndo maana id mpya zinaongezeka mtu animbato afu niendelee kuwa luckyline? Neverrrrrr! Ushmen umetoa mpyaaaaa!
Mm nakuona wewe tu kwenye profile yangu hata sijui....lol,natania mwayegoItakuwa ni hii app inanizingua. Kwani na wewe unaona hivyo huko?
Hahahaha endelea kuniombea usafiri wangu unaujuaaa.ila nimekumis kuleee aisee mwambie jamaa akuachieeha ha ha acha zako akati nimesikia wee umevuta mkoko kama wa masanja afu unanisingizia miyee aiyaaaa bana...hata hivo unaniombea mema...!!aliyekupa wee ndo atanipa mie😛ngoja mie nilimie mihogo
oppps aiseee pole sana!!
naelewa vizuri tu sema nini mwisho wa story mtaje mhusika ili wengine wasije ingizwa mkenge na huyo mama kubwa!! hope NG ataelewa coz leo umeamua kutoa ya moyoni....na ataamini kuwa unampenda yeye na sio huyo gumegume!!!
ahaaaaaaaa kwanza kua si unajua wavulana wananuka maziwa ebu nikomae na wazee wenzanguNaomba uwe rafiki yangu
Teh kashasema nafasi imejaa,sijui anaogopa foleni!Ahsante kumbe nawe umeona hii kitu kwa Jicho la 3
Teh nimeona...Valentina...Hata hivyo jamaa anachukua 8m kwa Mwezi,Na "nafasi" imejaa....nime quote tuu kwake.