Leo nayatoa ya moyoni

We labda uwe mgeni humu mbona ungeshambwato muda tu shukuru mabazazi wamestaafu na si wengine tumeachana mambo hzo..
 
umedanganya mkuu...chunguza ni wapi umedanganya na uuseme ukweli..jifunze kutokuexagerate
 
Wanawake hawa?
 
Nakuzimia kinoma noma ww hujui tu
 
Naomba uwe rafiki yangu
 
Hahahaha endelea kuniombea usafiri wangu unaujuaaa.ila nimekumis kuleee aisee mwambie jamaa akuachiee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…