Nasubiri new story General umekuwa kimya sana au uhakiki wa silaha umekuchelewesha?Nipo kwa wingi sana mkuu
Yapo mambo mengi sana lakini majukumu yanabanaNasubiri new story General
Hilo lipo ndani ya uwezo wng. Ila Sijajua kitu kimoja, umeshanikubali ila kwanza nitume mpunga au nikishatuma mpunga ndio utankubali?Mi mwenyewe mgeni. pm sipajui.
aisee siwezi kukukubali kirahisi. Nitumie kwanza gunia la mpunga
Usiwe basi kama wanaume wa dar best. Tuma mpunga...mengine yatafata. Ha ha haaaa unaogopa kuinvest kabla ya kula mzigo? Acha banaaaHilo lipo ndani ya uwezo wng. Ila Sijajua kitu kimoja, umeshanikubali ila kwanza nitume mpunga au nikishatuma mpunga ndio utankubali?
Sina haja ya kick aiseeee.....Wewe unatafuta kick! Kwanini usimtafute private huyo mchumbaako wa JF ukamchaaaamba tani yako...unakuja kutengeneza stori na wala jina hutaji,kwendraaaaa na wala usirudi
mbona unawachokoza? mpunga ukiukoboa unatoa mchele kiasi kidogo, so mi ntakutumia mchele kilo 63 badala ya mpunga!Usiwe basi kama wanaume wa dar best. Tuma mpunga...mengine yatafata. Ha ha haaaa unaogopa kuinvest kabla ya kula mzigo? Acha banaaa
Sawa. Mchele kilo 63 au vitumbua kilo 63. Hivi vitumbua si ni mchele pia?mbona unawachokoza? mpunga ukiukoboa unatoa mchele kiasi kidogo, so mi ntakutumia mchele kilo 63 badala ya mpunga!
Sinema yenyewe haieleweki ya kihindi au kinaijeria.....haya pole muhanga,kunywa maji ulale.Sina haja ya kick aiseeee.....
Zaidi kuna muhanga ambae unaumizwa na hili lisinema