Leo nazungumzia virus aina ya Shortcuts

Leo nazungumzia virus aina ya Shortcuts

Joined
Oct 26, 2021
Posts
99
Reaction score
294

Leo nazungumzia virus aina ya SHORTCUTS Hawa ni wasumbufu sana na ni hatari,
Wapoje?
Wanasambazajwe?
Madhara yake nini?
Tiba yake nini?

Tuende pamoja.

Virus hawa sijajua chanzo chake ila. Utawajua kupitia njia kuu ambayo, ukichomeka flash utaona mafaili yaliyopo kwenye flash yana JIRUDIA RUDIA, halafu yale yaliojirudia yanakuwa na rangi tofauti kidogo na original file.

Pili utawajua endapo utajaribu kufuta mafaili yale baada ya muda kidogo yanajutokeza tena hata kama yalifutika.

Madhara yake: hawa shortcut virus wanashambulia computer system hasa Startup areas pia hata registry.

Wakishaingia ktk computer utaona computer inakuw slow hasa ukichomeka USB devices.

Wakishakuwa critical (extreme) watakuja kutafuna programs zako endapo kama haujazi ZIP,

Virus hawa wanaambukiza kifaa kingine hasa flash disk, pia kama computer yakp ina virus hawa utawaambukiza wote wataochomeka flash.

Wale wanaopiga window nadhan washakutana na tatizo la programs zao kuliwa, bas wajue hawa ndo chanzo.

TIBA YAKE NINI? Kama una ant-virus aina yeyote hawa virus ni kiboko hawang'oki labda window defender ya windows 10 ikiwa bado strong. Avast, avira, Smadav, USB Disk security, Kaspersky, etc haziwezi hapa.

DAWA YAKE: Ni program moja ivi inaitwa UsbFix ina MB zisizozidi 5 unaistall fasta.
Kisha utabofya walipoandika RUN ANALYSIS kisha...... (natuma picha)

baada ya hapo kwa juukuna vitu vitu
1.FULL ANALYSIS
2. WINDOWS
3.USB
utabofya unachotaka kuscan, ukibofya full yaan vyote computer na usb zote, ukibofya window ni computer tu, ukibofy usb ni devices ulizochomeka tu.

Kama computer yako haina virus hao, itatokea picha ya mdoli ikitabasam kama ilivyo katika picha.

Kama kuna virus watatokea hapo kisha chini yake litatokea neno CLEAN Unabofya clean utaona wanavyotoka mmoja baada ya mwingine.

Naongezea tu hapo.

Ile window defender ya kwenye window 10 kiukweli naikubali sana.

Yani sometimes kama unatumia window 10 hunahaja ya kuhangaika na ma u
Antvirus mengine

Ile inatosha kupambana na wadudu.

Kinachotakiwa ni kuifanyia updates tu
 
‌🇻‌🇮‌🇷‌🇺‌🇸
Leo nazungumzia virus aina ya SHORTCUTS Hawa ni wasumbufu sana na ni hatari,
Wapoje?
Wanasambazajwe?
Madhara yake nini?
Tiba yake nini?

Tuende pamoja.

Virus hawa sijajua chanzo chake ila. Utawajua kupitia njia kuu ambayo, ukichomeka flash utaona mafaili yaliyopo kwenye flash yana JIRUDIA RUDIA, halafu yale yaliojirudia yanakuwa na rangi tofauti kidogo na original file.
Pili utawajua endapo utajaribu kufuta mafaili yale baada ya muda kidogo yanajutokeza tena hata kama yalifutika.

Madhara yake: hawa shortcut virus wanashambulia computer system hasa Startup areas pia hata registry.
Wakishaingia ktk computer utaona computer inakuw slow hasa ukichomeka USB devices.
Wakishakuwa critical (extreme) watakuja kutafuna programs zako endapo kama haujazi ZIP,
Virus hawa wanaambukiza kifaa kingine hasa flash disk, pia kama computer yakp ina virus hawa utawaambukiza wote wataochomeka flash.

Wale wanaopiga window nadhan washakutana na tatizo la programs zao kuliwa, bas wajue hawa ndo chanzo.

TIBA YAKE NINI? Kama una ant-virus aina yeyote hawa virus ni kiboko hawang'oki labda window defender ya windows 10 ikiwa bado strong. Avast, avira, Smadav, USB Disk security, Kaspersky, etc haziwezi hapa.

DAWA YAKE: Ni program moja ivi inaitwa UsbFix ina MB zisizozidi 5 unaistall fasta.
Kisha utabofya walipoandika RUN ANALYSIS kisha...... (natuma picha)

baada ya hapo kwa juukuna vitu vitu
1.FULL ANALYSIS
2. WINDOWS
3.USB
utabofya unachotaka kuscan, ukibofya full yaan vyote computer na usb zote, ukibofya window ni computer tu, ukibofy usb ni devices ulizochomeka tu.

Kama computer yako haina virus hao, itatokea picha ya mdoli ikitabasam kama ilivyo katika picha.

Kama kuna virus watatokea hapo kisha chini yake litatokea neno CLEAN Unabofya clean utaona wanavyotoka mmoja baada ya mwingine.

Naongezea tu hapo.

Ile window defender ya kwenye window 10 kiukweli naikubali sana.

Yani sometimes kama unatumia window 10 hunahaja ya kuhangaika na ma u
Antvirus mengine

Ile inatosha kupambana na wadudu.

Kinachotakiwa ni kuifanyia updates tu

Ni kweli huna haja ya kuwa na antivirus ikiwa unatumia Windows 10/11 kikubwa ni kuhakikisha Windows defender yako ipo updated.
 
Ubaya windows 10 sio reliable kwa mazingira yetu.
  • Waweza fafanua zaidi!, Nini hasa unamaanisha, unaposema sio reliable.
  • Je ni OS ipi ni reliable? kwa vigezo na mtazamo wako.
---
Kwa sasa natumia Win 11, ila natarajia kurudi kwenye Win 10 wakati wowote.
---
Huwa situmii FULL OS kama wengine watumiazo, Mimi huwa natumia LITE version, waweza angalia hapa: Windows 10 Lite
---
 
  • Waweza fafanua zaidi!, Nini hasa unamaanisha, unaposema sio reliable.
  • Je ni OS ipi ni reliable? kwa vigezo na mtazamo wako.
---
Kwa sasa natumia Win 11, ila natarajia kurudi kwenye Win 10 wakati wowote.
---
Huwa situmii FULL OS kama wengine watumiazo, Mimi huwa natumia LITE version, waweza angalia hapa: Windows 10 Lite
---
mkuu Kwa nini unataka kuridi windows 10, kutoka windows 11
 
windows 10, kutoka windows 11
Nitakupa kigezo kimoja tu.

Huwa natumia program ya SNAGIT katika kurekodi video na kuchukua screenshot,

Kwenye windows 10 huwa ni instantly inafunguka na kuniruhusi either nirekodi video au picha, Sijawahi pata tatizo lolote kipindi chote natumia Win 10,

Ila kwenye window 11 , huwa kuna kuwa na delay ya sekunde kadhaa katika kufunguka kwa snagit, Hasa wakati ninapokuwa na programs zingine nyingi nilizofungua kwenye PC.

Kwa kigezo hicho kimoja kwangu Win 10 ni bora zaidi ya win 11.
 
Mfano mtu mwenye matumizi ya data za kuunga unga windows 10 haimfai.
kama ambavyo Chief-Mkwawa amekuwa akilisemea la data kuliwa sana. tatizo la kwanza ni kuchukua Windows 10 ya mwaka 2015 huko kwenye update lazima itatumia bundle kubwa mno.
Download windows 10 latest kutoka kwenye official website yao Kisha install.
Baada ya hapo itafutie kama GB 2 hivi iache ifanye updates.
Baada ya hapo network unayotumia iweke metered, basi mchezo umeisha mbona sisi wengine hatuoni ikinywa sana bundle.
Though Kwa sasa mimi natumia windows 11.
 
sema kwa wewe Mzee wa cracked software
WINDOW DEFENDER ni mwarobaini mchungu
Tengeneza partition mfano localdisk E, then point torrent, idm na software zako za kudownload kwenye hio partition na hata cracked software usiweke kwenye C weka huko.

Then kwenye windows defender exclude hio partition isiwe scanned.

Wakati wa kuinstall unazima defender una install then washa defender sababu ume exclude haitaliwa crack utatumia kawaida.
 
Nitakupa kigezo kimoja tu.

Huwa natumia program ya SNAGIT katika kurekodi video na kuchukua screenshot,

Kwenye windows 10 huwa ni instantly inafunguka na kuniruhusi either nirekodi video au picha, Sijawahi pata tatizo lolote kipindi chote natumia Win 10,

Ila kwenye window 11 , huwa kuna kuwa na delay ya sekunde kadhaa katika kufunguka kwa snagit, Hasa wakati ninapokuwa na programs zingine nyingi nilizofungua kwenye PC.

Kwa kigezo hicho kimoja kwangu Win 10 ni bora zaidi ya win 11.
Sio hilo tu kuna mengi mno kwa sasa WINDOW 11 nahisi bado haijawa stable
kuna dell vostro core i3 gen 11 imekuja na window 11 aisee inastuck balaa hadi nikadhani labda HDD ina bad sector tukabadili tukaweka SSD bado vile vile
nikapata wazo tuweke WINDOW 10 inafanya kazi vizuri
nilichogundua WINDOW 11 bado haijawa compatible vizuri na hardware na driver hivyo kutumia WINDOW 11 kwa hizi PC za miaka karibuni nyingi ni kujitafutia shida ukichunguza utagundua watu wengi wanarudi WINDOW 10 kimya kimya japokuwa PC zao zinakidhi recomanded hardware requirement ila
nafikili MICROSOFT wanakusanya BUGS kwa sasa ili waifanye kuwa bora WINDOW 11 hvyo kama PC yako muhimu kwa ajili ya kazi ni bora utumie window 10
 
Tengeneza partition mfano localdisk E, then point torrent, idm na software zako za kudownload kwenye hio partition na hata cracked software usiweke kwenye C weka huko.

Then kwenye windows defender exclude hio partition isiwe scanned.

Wakati wa kuinstall unazima defender una install then washa defender sababu ume exclude haitaliwa crack utatumia kawaida.
Mkuu kuna wale virus wa ransomware wanaokuja na extension ya QSCX hawa walibutua ma files yangu yote nilichoweza ku retreive ni audio tu, the rest ni msala

Hawa virus wanatumiwa na hackers ambapo wakishakupiga wanakuachia readme note wanayo demand pesa ili waweze kukupa description key ya ku access files zako

Kuna namna yeyote ya ku fix aina hii ya virus?
 
Tengeneza partition mfano localdisk E, then point torrent, idm na software zako za kudownload kwenye hio partition na hata cracked software usiweke kwenye C weka huko.

Then kwenye windows defender exclude hio partition isiwe scanned.

Wakati wa kuinstall unazima defender una install then washa defender sababu ume exclude haitaliwa crack utatumia kawaida.
me huwa nafanya hivyo tena naziweka ziped kabisa kabisa huwa kabla kuinstall huwa nazima window DEFENDER haijawahi kunisumbua
zamani wakati WINDOW 10 ndio inaingia nilikuwa sijui hili la kuzima dah ! nilikuwa napata tabu sana
tena sasa hivi jamaa zetu hawa kina sadeemPc chingliu nk wanafanya PRECRACKED unainstall tu hata kama uzimi DEFFEDER safi tuu
 
Mkuu kuna wale virus wa ransomware wanaokuja na extension ya QSCX hawa walibutua ma files yangu yote nilichoweza ku retreive ni audio tu, the rest ni msala

Hawa virus wanatumiwa na hackers ambapo wakishakupiga wanakuachia readme note wanayo demand pesa ili waweze kukupa description key ya ku access files zako

Kuna namna yeyote ya ku fix aina hii ya virus?
uwape tu ela kuna jamaa alileta mada humu wamelala nae mbele kama terabyte 40 hivi za movie dadeki sijui aliishiwa wapi ila hawa wajuba wakikuotea ni msala mkubwa ndio mana inapendeza kutumia latest version ya DEFENDER kwa kiasi kikubwa inasaidia sana hasa PC yako ikiwa partion scheme ni GPT na uefi pendelea kuweka SECURE BOOT on inaongezea SUCURITY kwa kiasi kikubwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kibongo sijawahi kuona mtu kulipa zaidi ya kupiga window CHINI delete ALL drive creat NEW
pole sana mkuu TATIZO za movie kuna zingine za zamani kuzipata inakuwa ngumu zinakuwa na seed chache sana yaani inauma sana
Mi bado naona movies ni rahisi sana kuzipata kuliko picha za MB 50 zenye kumbukumbu ulizopiga kwenye tukio muhimu

Hapo bado kuna files kibao za muhimu ambazo hazipatikani kwenye source nyingine

Ni msala mzee ukikutana na hizi virus kwenye vitu vyako muhimu
 
Back
Top Bottom