Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mshaanza kutafta sababu. Kachezeni mpira acheni makelele na lawama kama wajaneKwa mambo mnayotufanyia wenzetu wenye kumiliki uwanja ni dhahiri kabisa hamna nia njema na Simba, inaonyesha ni kwa namna gani mlivyo na mapenzi na wale waliocheza jana, inshaallah Leo tutashinda au vyovyote vile lazima twende makundi.
Ila mmetengeneza uadui mkubwa na sisi.Simba nguvu moja
Hawezi Kwa sababu ndivyo alivyozaliwa. Hakuna anachoigiza ndiyo akili yake.Mzee ukifuta huu ujinga wako utakosa nini?
Huyu ni mshamba Fulani fuatilia nyuzi zake zote aidha zinaongelea ushirikina au Mambo yasiyoweza kuthibitishwa. Ni tafsiri halisi ya watu wa Chama kile.Mambo gani hayo mnafanyiwa mkuu?
Huyu ni mshamba Fulani fuatilia nyuzi zake zote aidha zinaongelea ushirikina au Mambo yasiyoweza kuthibitishwa. Ni tafsiri halisi ya watu wa Chama kile.Mambo gani hayo mnafanyiwa mkuu?
Ulizuiwa usiku kuwangia eeh?Kwa mambo mnayotufanyia wenzetu wenye kumiliki uwanja ni dhahiri kabisa hamna nia njema na Simba, inaonyesha ni kwa namna gani mlivyo na mapenzi na wale waliocheza jana, inshaallah Leo tutashinda au vyovyote vile lazima twende makundi.
Ila mmetengeneza uadui mkubwa na sisi.
Simba nguvu moja
Ana uchawi wa kurithi kwa bibi yake.We jamaa ni mganga au?
Genge linalojiita timu KUBWA linalalamikaKwa mambo mnayotufanyia wenzetu wenye kumiliki uwanja ni dhahiri kabisa hamna nia njema na Simba, inaonyesha ni kwa namna gani mlivyo na mapenzi na wale waliocheza jana, inshaallah Leo tutashinda au vyovyote vile lazima twende makundi.
Ila mmetengeneza uadui mkubwa na sisi.
Simba nguvu moja
Kwani zile buku buku mlizochanga kipindi kile hamkumaliza kujenga uwanja wenu mpaka leo?Kwa mambo mnayotufanyia wenzetu wenye kumiliki uwanja ni dhahiri kabisa hamna nia njema na Simba, inaonyesha ni kwa namna gani mlivyo na mapenzi na wale waliocheza jana, inshaallah Leo tutashinda au vyovyote vile lazima twende makundi.
Ila mmetengeneza uadui mkubwa na sisi.
Simba nguvu moja
Ana uchawi wa kurithi kwa bibi yake.
Hili goli halirudi na likirudi nachoma kilinge na tunguli zake zote.
Huyu anayoongea ni ya ndani sana na inaonekana ni mtu wa simba kindaki ndakiKwa mambo mnayotufanyia wenzetu wenye kumiliki uwanja ni dhahiri kabisa hamna nia njema na Simba, inaonyesha ni kwa namna gani mlivyo na mapenzi na wale waliocheza jana, inshaallah Leo tutashinda au vyovyote vile lazima twende makundi.
Ila mmetengeneza uadui mkubwa na sisi.
Simba nguvu moja
Simba mbovuHuyu anayoongea ni ya ndani sana na inaonekana ni mtu wa simba kindaki ndaki
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Kwanini hamjengi wenu ?Kwa mambo mnayotufanyia wenzetu wenye kumiliki uwanja ni dhahiri kabisa hamna nia njema na Simba, inaonyesha ni kwa namna gani mlivyo na mapenzi na wale waliocheza jana, inshaallah Leo tutashinda au vyovyote vile lazima twende makundi.
Ila mmetengeneza uadui mkubwa na sisi.
Simba nguvu moja