Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kwa mambo mnayotufanyia wenzetu wenye kumiliki uwanja ni dhahiri kabisa hamna nia njema na Simba, inaonyesha ni kwa namna gani mlivyo na mapenzi na wale waliocheza jana, inshaallah Leo tutashinda au vyovyote vile lazima twende makundi.
Ila mmetengeneza uadui mkubwa na sisi.
Simba nguvu moja
Ila mmetengeneza uadui mkubwa na sisi.
Simba nguvu moja