Leo ndio itakuwa mwanzo na mwisho wa Simba kuutumia uwanja wa Chamazi, bora tukacheze Zanzibar au Mkwakwani

Maskini hawanaga hasira wewe.
Susa ukachezee coco beach shwain wewe..
 
Msitafute visingizio, Simba tatueni matatizo ya uchezaji wa timu yenu.
Msifikiri mashabiki wote ni wapuuzi wakati timu yenu inaonekana haipo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…