Leo ndio itakuwa mwanzo na mwisho wa Simba kuutumia uwanja wa Chamazi, bora tukacheze Zanzibar au Mkwakwani

Leo ndio itakuwa mwanzo na mwisho wa Simba kuutumia uwanja wa Chamazi, bora tukacheze Zanzibar au Mkwakwani

Maskini hawanaga hasira wewe.
Susa ukachezee coco beach shwain wewe..
 
Kuliwekwa kila Njama ili Simba afungwe.
Azam akizifunga timu zote anakuwa kimya tu.
Akiifunga Simba wanafanya hadi Sherehe. Na zawadi juu.

Mafanikio Simba kimataifa wanafanya timu kubwa za hapa nchi kujenga chuki kali dhidi yake badala ya kujifunza toka kwao.

Azam alitakiwa kufurahi kwa Simba kutumia uwanja wake kimataifa.

Badala yake yeye na yule mshirika wake mpya wanaodhamini na mzamimi mmoja waliweka mtego ili Simba afungwe na wafurahi kama kawaida yao ya kila siku.

Azam itabaki timu ya Matangazo ya Unga kwa miaka yote shauri ya utoto wao.
Hawakui kabisa.
Leo Bila kudra za Mwanyezi Mungi Simba ilifungwa kirahisi kabisa uwanja ulishachukuliwa na maadui wawili.
Msitafute visingizio, Simba tatueni matatizo ya uchezaji wa timu yenu.
Msifikiri mashabiki wote ni wapuuzi wakati timu yenu inaonekana haipo sawa.
 
Back
Top Bottom